INAUZWA Njoo tukupe bidhaa za Rissing bei ndogo unapatabna warrant ya mwaka mzima

Wewe ulinunua dukani au uchochoroni?? Mana unaweza kuwa umenunua na hukupewa warant afu unalalamika
Wewe nilinunua dukani ktk maduka ya makubwa tena lile lililokua linajitangaza sana la pale jengo la DDC kkoo.....
Warrant zenu ni za uongo uongo tu na ubabaishaji.....

TV miezi sita limeharibika kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…