Al Watani JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 21,237 Reaction score 31,811 Aug 13, 2021 #61 Nipe chakula ntanawa, ntakula ntashiba. Usiku nikienda kulala ntaota mapenzi.. Ukisikia naimba, nafurahi najiimbia kama ukisikia naimba naimba mapenzi. Ukiniona nalia nifute machozi... jua ukiniona nalia nalilia mapenzi. Ooh yeyeyeeh Balaa sana
Nipe chakula ntanawa, ntakula ntashiba. Usiku nikienda kulala ntaota mapenzi.. Ukisikia naimba, nafurahi najiimbia kama ukisikia naimba naimba mapenzi. Ukiniona nalia nifute machozi... jua ukiniona nalia nalilia mapenzi. Ooh yeyeyeeh Balaa sana