Wivu sina ila roho inaumaaa...Hhahahahahahaa babu weeweee kwani si ulishasema wewe unashughulikia mdomo wa chini na Yamakagashi ashughulikie mdomo wa juu?, na ukasema nyie ni dugu moja kisiasa?
I love you Yamakagashi
and you too babu Asprin View attachment 437148
huhuhuuuu lovely darling.Kila nikifikiri mwenzako spati jawabu/
Yale mahaba ulonipa nadhani ndo sababu
...
bila ghadhabu naomba unipe tena na tena/
Oh My God Unanifanya nashindwa kuhema
...
jje's Upendo wako kwangu unathamani/
Nikuvike kidani au vacation twende huko shambani?
...
Its true Nadata ukichuma Tembele /
kokote tutakwenda hata wakipiga kelele
...
wanga wanataka eti usinipende/
Please panda kwa kitanda nataka nimuue mende
Hahaha wewe si umehamia kwa kasie?Hahahaha haki ya mama wewe sio babu ndio maana Honey Faith anasema upo sekondari
Hapo kwa Heaven Sent unanisingizia bure sijapigwa chini na mama mchungaji ..sema nilikuwa namuimbia nyimbo fulani za Kassim mganga sijui hakunielewa
Anhaaa.... kumbeee???huhuhuuuu lovely darling.
najua wako wengi watalizungukia penzi langu kwako lakini nakuahidi nitakuwa gud mum to our children and gud wife honey.
please usiangalie pembeni cause unajua nilivyo na wivu mwenzio. Napenda kuishi ujue.
unafikiri mimi siumii eeeeh, nimeona ukisifia sana watu humu na mimi sitaki kufa mie niache.Anhaaa.... kumbeee???
Dah... nimeumia sana roho.unafikiri mimi siumii eeeeh, nimeona ukisifia sana watu humu na mimi sitaki kufa mie niache.
Wivu sina ila roho inaumaaa...
ODM anatetemekaaa...
Akaliaaaa kwa huzuniiii
Hata mwishooo alikufaaaa
Pale jamiforamuuu
Akakataaa rohooo
Kwa huzuniiiiii
ohooo hata mimi naumia vile vile ujue. usichotaka kufanyiwa usimfanyie mwenzako.Dah... nimeumia sana roho.
Ee Mungu naomba uponyajo wako.
Wacha we!!! Babu naona unanigawa tu.We mtu wa kukariri,
Hujui chana mistari,
Umekaa kisharirishari,
Si kama Wema bali Zari....
Kasinde wangu mwandani,
Yuko kwangu nyumbani,
Ananipatia ya ndani,
Ya nje ampe nani???
Nilikupa binti atoto
We ukafanya kitoto,
Hata Honey Faith wa moto,
Ukashindwa mpa joto...
Heaven Sent nyama laini
Naye kakupiga chini
geniveros wamtakiani
Wajiingiza hatiani
Nimemaliza kwa leo... Ngoja nikazimue.
Mimi babu ODM si mtu wa kisportsport...
hahaha ukojeNilikuwa na hangover nikajikuta nataka kuufuta uzi. Nikashindwa nikauedit
Hii ndio tunasema kupatwa kwa Christmas... Yani nasheherekea Xmas mwezi June.
Kwanini lakini Kasinde ???
Waniuaua Kassie waninuaua...
Wivu sina ila roho inaumaaa...
ODM anatetemekaaa...
Akaliaaaa kwa huzuniiii
Hata mwishooo alikufaaaa
Pale jamiforamuuu
Akakataaa rohooo
Kwa huzuniiiiii
Amen... tutakutana paradisoRIP babu.
CC Bwanamdogo YamakagashiBabu ODM usihofu, mie na weye tumetoka mbali atii.... au na wewe unataka kufanya makosa aliyoyafanya Sam dogo originale
Si unaona navokupenda???Wacha we!!! Babu naona unanigawa tu.
I gat you, And I promise to be with you forever, Am yourshuhuhuuuu lovely darling.
najua wako wengi watalizungukia penzi langu kwako lakini nakuahidi nitakuwa gud mum to our children and gud wife honey.
please usiangalie pembeni cause unajua nilivyo na wivu mwenzio. Napenda kuishi ujue.
thanks muchI gat you, And I promise to be with you forever, Am yours
Mhhhh hapa kumbe tumepangwa ...Sam dogo originale ndio nani tena ?Babu ODM usihofu, mie na weye tumetoka mbali atii.... au na wewe unataka kufanya makosa aliyoyafanya Sam dogo originale
We ni honey mtamu kama asali,Yani mtu yupo online lakini mpaka mda huu sijaandikiwa hata vi verse viwili aiseee nimeamini sipendwi.