Njoo ulione lile shamba nililo taka kuliuza lipo Kilosa

Njoo ulione lile shamba nililo taka kuliuza lipo Kilosa

igihumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
529
Reaction score
483
Baada ya kukomaana nikaamua kulima na hatimae nimefikia hapa
nimeamua kulima mahindi, na kunde kiukweli nashukuru nilipo fikia.
na mwakani nampango wa kulima ufuta hapo hapo kiukweli shamba liko poa sana.
IMG-20191117-WA0002.jpeg
IMG-20191117-WA0000.jpeg
IMG-20191117-WA0001.jpeg
 
Safi sana... Ni hekari ngapi kiongozi? Ulikuwa una uzaje? Na bado una mpango wa kuuza? Ni kilosa sehemu gani?
 
Mambo ya kua makini
Tafuta Wakili kwa ajili ya Wafugaji kwa dharura endapo watavamia

Jipange kiimani Vinginevyo utalima hekari 100utavuna gunia 20

Sehemu nzuri ambayo ungeliweza kulima Ni ktk Mashamba ya ASA wana hekari 2000lakn hawalim zote hizo Ni sehemu yenye rutuba,maji muda wote,yanapatikana ,nadra kulishiwa mazao na Wafugaji

Mashamba ya ASA yapo Kilosa Kilangali.
 
Mambo ya kua makini
Tafuta Wakili kwa ajili ya Wafugaji kwa dharura endapo watavamia

Jipange kiimani Vinginevyo utalima hekari 100utavuna gunia 20

Sehemu nzuri ambayo ungeliweza kulima Ni ktk Mashamba ya ASA wana hekari 2000lakn hawalim zote hizo Ni sehemu yenye rutuba,maji muda wote,yanapatikana ,nadra kulishiwa mazao na Wafugaji

Mashamba ya ASA yapo Kilosa Kilangali.
Umeongea vema sana. Akifata ushauri huu atakuwa sehemu sahihi.
 
Back
Top Bottom