Umeionja?
Njoo uionje kwanza ndo uanze kuisifia
sorry DP ndo nini vile?
ahahaha
aah, kumbe ni avatar
basi njoo jf uionje!!
jf ndo wapi huko?
Ni hapa karibu na Keyboard
kata kushoto kama unaelekea kwenye display
kila nyoosha moja kwa moja mpaka kwenye browser
Hapo utamkuta server
yeye atakuelekeza jinsi ya kufika jf
ni mji mzuri kwa kweli
Karibu ufanye utalii!!!
Kuna mtu nilimtukana PM so mod wakani-BAN kutumia PM
BAN yangu inaondolewa January mwakani
So be patient!!
Teh !!