Njoo useme neno

Njoo useme neno

that manzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
385
Reaction score
1,246
Habari za jioni wakuu!

Baada ya kuondoka humu kwa muda mrefu hatimae nimeamua kurejea tena….niliwamiss.

Naomba msipite bila kusema neno hapa,

Kwa Wale mliochoka magumu ya ndoa au mahusiano ya muda mrefu mkaamua kumove on mlitumia muda gani kuzoea Hali ya upweke? Kitu gani kiliwafanya kusonga mbele bila kuwarudia waliowaumiza?
 
Habari za jioni wakuu!

Baada ya kuondoka humu kwa muda mrefu hatimae nimeamua kurejea tena….niliwamiss.

Naomba msipite bila kusema neno hapa,

Kwa Wale mliochoka magumu ya ndoa au mahusiano ya muda mrefu mkaamua kumove on mlitumia muda gani kuzoea Hali ya upweke? Kitu gani kiliwafanya kusonga mbele bila kuwarudia waliowaumiza?
Zamani ulikuwa Nani?natamani uwe Nakadori Nimemmiss
 
51264043fee0738c3a04646bf0efbc49.jpg
 
Back
Top Bottom