Njoo utuambie siku yako ya kwanza kununua beer kwa pesa yako ulijiskiaje?

Njoo utuambie siku yako ya kwanza kununua beer kwa pesa yako ulijiskiaje?

kurlzawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
16,695
Reaction score
20,633
Habari za mda huu?

Naomba kuuliza kwa wale ndugu zangu wapenda Tungi siku ya Kwanza kununua beer unywe

Ulijiskiaje? achana na mwanzo za kujifunzia za sherehe siku ya Kwanza kutoa pesa mfukoni kununua beer na uitaje ilikuwa beer gani?

Mimi siku hiyo nilijiona mkubwa sana na nilikaa Counter pale juu kabisa.[emoji16][emoji481]
IMG-20191223-WA0006.jpeg
IMG-20200927-WA0019.jpeg
 
Habari za mda huu?

Naomba kuuliza kwa wale ndugu zangu wapenda Tungi siku ya Kwanza kununua beer unywe

Ulijiskiaje? achana na mwanzo za kujifunzia za sherehe siku ya Kwanza kutoa pesa mfukoni kununua beer na uitaje ilikuwa beer gani?

Mimi siku hiyo nilijiona mkubwa sana na nilikaa Counter pale juu kabisa.[emoji16][emoji481]View attachment 1620664View attachment 1620665
kwahyo ulinunua beer gani hiyo seven up au🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nakumbuka siku ya kwanza kwenda petrol station...nilijiona nimeyapatia maiiiisha kumbe shida tuu
 
Habari za mda huu?

Naomba kuuliza kwa wale ndugu zangu wapenda Tungi siku ya Kwanza kununua beer unywe

Ulijiskiaje? achana na mwanzo za kujifunzia za sherehe siku ya Kwanza kutoa pesa mfukoni kununua beer na uitaje ilikuwa beer gani?

Mimi siku hiyo nilijiona mkubwa sana na nilikaa Counter pale juu kabisa.[emoji16][emoji481]View attachment 1620664View attachment 1620665
sikumbuki,nakumbuka tu siku ya kwanza kwenda Bar kunywa,nilijihisi tajiri mmoja mzito sana
 
Back
Top Bottom