Njoon umu jmn

Kunanilichowakosea mbon. Sielew
Mumie post yako ya kwanza umeingia kiubabe /kishari shari sana as if kuna mtu /watu walikua wanakusumbua sana PM

Yani post yako ya kwanza tu umeanza na onyo

Alafu jaribu kuandika maneno vizuri
Punguza vifupisho
 
Kunanilichowakosea mbon. Sielew


Member mgeni akiingia huku huwa anaenda jukwaa la utambulisho kufahamika kwanza na kupokelewa Mfano: Kiranga..kwa kuwa tunaamini ni kuku mgeni na ana kamba mguuni!

Kuna wataalamu wa kupokea watu na kuwasaidia kuzoea jukwaa: Elli , Eiyer, mshana jr et al...

Sasa haiwezekani wewe umeingia JF leo na kuanza kusema wanaume wa huku tunakutongoza...tulikutongozaje na hukuwa member? Au ni ma-admin ndo walikuwa wanakutongoza???!!!

Unless wewe ni member mpya wa zamani huwezi kuwa serious kwa ujio huu....rudi ujipange upya, uje tena!!!

Tunakupenda.
 
Mumie post yako ya kwanza umeingia kiubabe /kishari shari sana as if kuna mtu /watu walikua wanakusumbua sana PM

Yani post yako ya kwanza tu umeanza na onyo

Alafu jaribu kuandika maneno vizuri
Punguza vifupisho
Ungemfanyia orientation japo kwa dakika 15.
 
Ujumbe kuntu sana huu, ila nimejikuta nacheka [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Au atakuwa ameingia na kukutana na pm ya kumtongoza
 
Ujumbe kuntu sana huu, ila nimejikuta nacheka [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Au atakuwa ameingia na kukutana na pm ya kumtongoza
Bado hajakutana na wale wanaotoa uhakika kwamba
"NIKIKUTAKA HUCHOMOKI"
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ujumbe kuntu sana huu, ila nimejikuta nacheka [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Au atakuwa ameingia na kukutana na pm ya kumtongoza
alipoingia hakuwa na avatar ya sasa hivyo sijui kama kuna mtu amemtongoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…