demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Nataka mjitokeze mbele ya na mpige magoti huku mkiwa mnabubujikwa na machozi na kuomba radhi wanasoka wote.
Mjitokeze na mseme kwanini mlikubari dhana ya kipuuzi ya namna hiyo ipate nafasi ndani ya Mioyo yenu.
Ni nani miongoni mwenu mwenye kuamini 31yrs old Kagere atamaliza Ligi akiwa na mabao 7?
Ni nani miongoni mwenu anaye amini kuwa Mayele atamaliza Ligi akiwa chini ya mabao 20? Na ajitokeze hivi sasa nimzabe vibao.
Ni nani huyo anayedhani Ubora wa Mabingwa wa kihistoria wa msimu huu unafanana na Makolo FC walio sheheni wazee?
Ni uwanja upi na kwa kisingizio kipi kitapelekea Yanga SC apoteze alama hata kwa kutoa sare.?
Je ni kipi kimewasahaulisha kuwa Dar es Salaam Young Africans SC ni mabingwa wa kihistoria wa LIGI KUU TANZANIA BARA.
Tuliwapatua uhuru wa kuwa mabingwa kwa miaka 3 ili tupate fursa ya kujenga kikosi cha kutawala miaka 10 mbele.
Huu ni msimu wa 2021/22 - ni wa Yanga SC
Na pia msimu wa 2022/23 - ni wa Yanga SC
Tukutane msimu wa keshokutwa yaani 2023/24.
Mjitokeze na mseme kwanini mlikubari dhana ya kipuuzi ya namna hiyo ipate nafasi ndani ya Mioyo yenu.
Ni nani miongoni mwenu mwenye kuamini 31yrs old Kagere atamaliza Ligi akiwa na mabao 7?
Ni nani miongoni mwenu anaye amini kuwa Mayele atamaliza Ligi akiwa chini ya mabao 20? Na ajitokeze hivi sasa nimzabe vibao.
Ni nani huyo anayedhani Ubora wa Mabingwa wa kihistoria wa msimu huu unafanana na Makolo FC walio sheheni wazee?
Ni uwanja upi na kwa kisingizio kipi kitapelekea Yanga SC apoteze alama hata kwa kutoa sare.?
Je ni kipi kimewasahaulisha kuwa Dar es Salaam Young Africans SC ni mabingwa wa kihistoria wa LIGI KUU TANZANIA BARA.
Tuliwapatua uhuru wa kuwa mabingwa kwa miaka 3 ili tupate fursa ya kujenga kikosi cha kutawala miaka 10 mbele.
Huu ni msimu wa 2021/22 - ni wa Yanga SC
Na pia msimu wa 2022/23 - ni wa Yanga SC
Tukutane msimu wa keshokutwa yaani 2023/24.