Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,043
Habarini ndugu zangu nimekuja kwenu nahitaji ushauri nina milioni 5 nahitaji kufanya biashara moja kati ya hizo.
Je, ipi inaunafuu wa kuniingizia kipato kwa urahisi zaidi, changamoto za uendeshaji, risk ya kupoteza mtaji.
Natanguliza shukran, napatikana Dar es Salaam.
Je, ipi inaunafuu wa kuniingizia kipato kwa urahisi zaidi, changamoto za uendeshaji, risk ya kupoteza mtaji.
Natanguliza shukran, napatikana Dar es Salaam.