nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
Mkuu una stressNabisha mwanaume kumsomesha mwanamke
Kiukweli nabisha ya kwamba mm nina stressMkuu una stress
Hii hata ukibisha hakuna kitu itasaidiaNabisha serikali kutulazimisha tukubaliane na mkabata wao
Kwani isiposaidia ,wewe ndo itakusaidia auHii hata ukibisha hakuna kitu itasaidia
Usinipangie maisha....unaweza kuwa choko tuMental retardation
Nabisha wana akili na ndio maana wanasajili kwa akiliEti Uto ni kweli hawana akili?
🥱🥱🥱🥱🥱NABISHA SIO UKICHAA ,UKICHAA NI BAADA YA KUMWAGA WAZUNGU..UKIKUMBUKA UMETUMIA 100K nyumbani umeacha 5000Kwanini watu wanavua nguo zote Kama vichaa ili kuvaa condom. Huu sio ukichaa Kweli ?
Mimi nabisha kuwa wewe una akili.Habari.
Wikiendi imeanza.
Kiuhalisia ninaweza kuonekana mjinga ila ninakuja na mada hii.
Karibu kwa kubishana leo Tubishane mpaka Tuchoke.
Ila Tusitukanane
Ule ni MKATABA au ni Mkataba?Habari.
Wikiendi imeanza.
Kiuhalisia ninaweza kuonekana mjinga ila ninakuja na mada hii.
Karibu kwa kubishana leo Tubishane mpaka Tuchoke.
Ila Tusitukanane
Mkuu una stress
Kwani isiposaidia ,wewe ndo itakusaidia au