NJOONI TUJUZANE MASIKHARA YA SOCCER LA TANZANIA

NJOONI TUJUZANE MASIKHARA YA SOCCER LA TANZANIA

Jerry Rebiam

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2016
Posts
402
Reaction score
358
Wakuu leo nilikia naangalia baadhi ya takwimu ya soccer la bongo kama vile



Timu yenye mataji mengi


Mfungaji bora wa muda wote


Magoli mengi ya kujifunga



Mchezaji mwenye assist nyingi


Na mengine yanayofanana na hayo


Cha ajabu hakuana hata blog iloleta hata wafungaji bora wa msimu huu



Hivi kama tunashindwa hata kuweka takwimu za msingi kisoka hivi kweli club zetu zina cha kujivunia mbali na ubingwa




Naomba muongezee madhaifu na masikhara mengine labda wahusika watapitia huu uzi
 
Labada sio viongozi wa soka la bongo yaani waache kupika takwimu za mapato uwanajani ili wapige mpunga unataka wahangaike na kuweka hizo takwimu.
 
Back
Top Bottom