Chauroho wa ITV ni noma
Naomba jaribu kumfuatilia Michireti .Hakuna cha mc pilipili ,joti au eric omond huyu jamaa kutoka 254 ni funika kama unastress lazima zipungue
Sikatai hoja yako ila sio sawa kumfanananisha na eric omond kwa maana aina ya uchekeshaji wanayofanya ni tofauti, huyu ni category moja na kina joti na masanja.Hakuna cha mc pilipili ,joti au eric omond huyu jamaa kutoka 254 ni funika kama unastress lazima zipungue
professor hamo ni shida hana mpinzani yule jamaaBinafsi namkubali sana Professor Hamo!
professor hamo ni shida hana mpinzani yule jamaaBinafsi namkubali sana Professor Hamo!
EatvChauroho wa ITV ni noma