Nkasi Kaskazini: Oparesheni 255 yapokelewa kwa Shangwe, Maelfu ya watu wahudhuria Mkutano

Nkasi Kaskazini: Oparesheni 255 yapokelewa kwa Shangwe, Maelfu ya watu wahudhuria Mkutano

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kama tulivyoahidi hapo awali , Oparesheni 255 yenye lengo la kuwakumbusha Wananchi umuhimu wa Katiba mpya ikiwa ni pamoja na kuwafungua macho wananchi hao ili wajionee ubovu wa Mkataba wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai , imefika Nkasi Kadkazini.

Kwenye Jimbo hilo kumetokea Mshangao wa Ajabu ! baada ya Umati Mkubwa mno kujitokeza kusikiliza hoja za Chadema.

Kama kawaida Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe ameongoza semina hiyo kwa wananchi

Hali ndio hii

Screenshot_2023-10-24-17-23-55-1.png
Screenshot_2023-10-24-17-24-28-1.png
Screenshot_2023-10-24-17-24-31-2.png
Screenshot_2023-10-24-17-24-36-1.png
 
Kama tulivyoahidi hapo awali , Oparesheni 255 yenye lengo la kuwakumbusha Wananchi umuhimu wa Katiba mpya ikiwa na kuwafungua macho wananchi hso ili wajionee ubovu wa Mkataba wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai , imefika Nkasi Kadkazini .

Kwenye Jimbo hilo kumetokea Mshangao wa Ajabu ! baada ya Umati Mkubwa mno kujitokeza kusikiliza hoja za Chadema .

Kama kawaida Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe ameongoza semina hiyo kwa wananchi

Hali ndio hii

View attachment 2791417View attachment 2791418View attachment 2791419View attachment 2791420
hatumwi mtoto dukani sio 😜
 
Kama tulivyoahidi hapo awali , Oparesheni 255 yenye lengo la kuwakumbusha Wananchi umuhimu wa Katiba mpya ikiwa ni pamoja na kuwafungua macho wananchi hao ili wajionee ubovu wa Mkataba wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai , imefika Nkasi Kadkazini .

Kwenye Jimbo hilo kumetokea Mshangao wa Ajabu ! baada ya Umati Mkubwa mno kujitokeza kusikiliza hoja za Chadema .

Kama kawaida Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe ameongoza semina hiyo kwa wananchi

Hali ndio hii

View attachment 2791417View attachment 2791418View attachment 2791419View attachment 2791420
Mungu ibariki CHADEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom