Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
Habari wanaJF!
Dunia hii imejaa mambo kila aina...kila mtu anautashi wake..wengine wanatekeleza kwa usiri mkubwa...wengine wanayaweka bayana.
Yoote hii ndio dunia.
Sasa nlikutana na jamaa yangu wa karibu akawa amenieleza mambo yaliomfika..
Akanambia uwezo wa kuishi na mke anao...tatizo yule mke anaehitaji awe nae ndio hajafanikiwa kwa kipindi kirefu kiasi ambacho ndugu zake na jamaa zake hawakuridhika maisha aliyo kua nayo!
Sasa aliamua aoe yeyote aliejitokeza muda huo...hapo ndipo mambo yakaanza kumchanganya...alijitokeza dada mwenye sifa zote na huyo dada alikua tayari aolewe nae. Tatizo kwa jamaa alisaini ndoa moja..pia dada huyo nae hakukubali awe mke wa pili.
Jamaa amechanganyikiwa hajui afanyeje?
Tunamsaidia vipi wana JF?
Dunia hii imejaa mambo kila aina...kila mtu anautashi wake..wengine wanatekeleza kwa usiri mkubwa...wengine wanayaweka bayana.
Yoote hii ndio dunia.
Sasa nlikutana na jamaa yangu wa karibu akawa amenieleza mambo yaliomfika..
Akanambia uwezo wa kuishi na mke anao...tatizo yule mke anaehitaji awe nae ndio hajafanikiwa kwa kipindi kirefu kiasi ambacho ndugu zake na jamaa zake hawakuridhika maisha aliyo kua nayo!
Sasa aliamua aoe yeyote aliejitokeza muda huo...hapo ndipo mambo yakaanza kumchanganya...alijitokeza dada mwenye sifa zote na huyo dada alikua tayari aolewe nae. Tatizo kwa jamaa alisaini ndoa moja..pia dada huyo nae hakukubali awe mke wa pili.
Jamaa amechanganyikiwa hajui afanyeje?
Tunamsaidia vipi wana JF?