Nlisema ukweli ushindi tunaopata Yanga si kwa sababu ya kocha

Nlisema ukweli ushindi tunaopata Yanga si kwa sababu ya kocha

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Kocha wala ubora wa team. Ni ushindi wa kimichongo. Ndo maana unaona Yanga tunapita mtu 5 lakini wala hatuongei sana. Tunafahamu si mbinu za kocha wala si ubora wa wachezaji.

Hizi teams tunazifahamu, zinatufahamu na tunafahamiana. So tukiamua hata kuzipiga 10 inawezekana. Ndo maana pamoja na kufunga funga watu 4 mara 5 bado tunajua nini kinafanyika. Na athari zake tuliziona CAF. Team hamna.

Mazembe TP tuliwafunga sababu walikosea mambo flani vyumbani.walisalitiana. wale Al Hilal tunajua Ibenge ilikuaje. Unatuona wanayanga hata hatujisifii.. .na Ibenge akatoa tena zawadi kwa TP Mazembe kwa kuwa alikuwa na uhakika tayari. Makocha wa kiswahili wananunulika kirahisi sana. Hasa wachezaji na makocha from Kongo.

Kifupi tulikosea sana kumfukuza yule kocha na kumleta huyu. Wacha tujipange. Tuendelee kuvumilia.
 
Hapo Wana simbaaa rohoo zao kwatuuu🤪🤪🤪🤪
 
Wazembe walipowafunga mazembe nkasema mkabwa na tabora hakuna kitu.
 
Kocha wala ubora wa team. Ni ushindi wa kimichongo. Ndo maana unaona Yanga tunapita mtu 5 lakini wala hatuongei sana. Tunafahamu si mbinu za kocha wala si ubora wa wachezaji.

Hizi teams tunazifahamu, zinatufahamu na tunafahamiana. So tukiamua hata kuzipiga 10 inawezekana. Ndo maana pamoja na kufunga funga watu 4 mara 5 bado tunajua nini kinafanyika. Na athari zake tuliziona CAF. Team hamna.

Mazembe TP tuliwafunga sababu walikosea mambo flani vyumbani.walisalitiana. wale Al Hilal tunajua Ibenge ilikuaje. Unatuona wanayanga hata hatujisifii.. .na Ibenge akatoa tena zawadi kwa TP Mazembe kwa kuwa alikuwa na uhakika tayari. Makocha wa kiswahili wananunulika kirahisi sana. Hasa wachezaji na makocha from Kongo.

Kifupi tulikosea sana kumfukuza yule kocha na kumleta huyu. Wacha tujipange. Tuendelee kuvumilia.
Mbwa akikaribia kufa anapoteza uwezo wa kunusa
 
Back
Top Bottom