Not necessarily. Ni uvivu tu. Kingine Kinachowapa kichwa ni kwamba, serikali inapitishia huko mishahara ya watendaji wake na malipo mengine kama leseni za biashara na vyombo vya moto, kwa hiyo wana uhakika na customer base ya namna hiyo, mbali ya sisi ambao hatutegemei mishahara ya serikali. Ingekuwa hawana base hiyo nadhani wangetuhudumia vyema tu.Mi naona wateja ndio wamezidi capacity ya bank.
Ameedit...mwanzoni kaandika jana, naona kaona abadilishe! hata post yake inaonyesha kuwa ame edit!!Teheh! Mleta mada alisema JUZI mkuu,jana hakuna benki zilifunguliwa....nadhani huwa hawafungui public holidays! Sijui jana umeipata wapi Rejao!
juzi katika mihangaiko yangu hapa jijini dar es salaam ilinifikisha katika bank nmb tawi la bank house makutana ya samora na mtaa wa pamba.
Nilipoingia ndani ya bank nikashangaa kukuta watu kama mia moja hivi wakiwa katika foleni zisizotembea, na nilipochunguza nikagundua kulikua na madirisha ya huduma zaidi ya 10, lakini yanayofanya kazi ni madirisha 2 tu......moja kwaajili ya cash deposit na mengine kwaajili ya cash withdraw .
Bahati mbaya zaidi kwenye chumba cha kuweka cha wateja wakubwa hakukuwa na mfanyakazi na taa ilikua imezimwa.
Nikamfuata meneja wao wa huduma kwa wateja kwakua nilikua na pesa nyingi za deposit na isingekua hekima kusimama nazo mda mrefu kwenye dirisha ambalo ni moja, na wakati huo kuna wateja wanasubiri, alinijibu kirahisi kuwa atafuatilia kujua nini kinaendelea.
Kwa udadisi wangu , nilichogundua hiyo benki inawatu wavivu , wasiojituma, wanaona raha kuona foleni ndefu .
Nampango wakuacha kuitumia hii bank , maana naona wafanyakazi wake hawajajua thamani ya muda na kwakua nmb si baba yangu acha niende kwa benki zingine.
Teheh! Mleta mada alisema JUZI mkuu,jana hakuna benki zilifunguliwa....nadhani huwa hawafungui public holidays! Sijui jana umeipata wapi Rejao!
Jana kumbuka ilikuwa Mei Mosi, yaelekea ni wafanyakazi wachache tu ndio walikuwa kazini. Tusipende kulaumu kila kitu
Ameedit...mwanzoni kaandika jana, naona kaona abadilishe! hata post yake inaonyesha kuwa ame edit!!
Juzi katika mihangaiko yangu hapa jijini Dar es salaam ilinifikisha katika Bank NMB tawi la Bank House makutana ya Samora na Mtaa wa Pamba.
Nilipoingia ndani ya Bank nikashangaa kukuta watu kama mia moja hivi wakiwa katika foleni zisizotembea, na nilipochunguza nikagundua kulikua na madirisha ya huduma zaidi ya 10, lakini yanayofanya kazi ni madirisha 2 tu......moja kwaajili ya cash deposit na mengine kwaajili ya cash withdraw .
Bahati mbaya zaidi kwenye chumba cha Kuweka cha wateja wakubwa hakukuwa na Mfanyakazi na taa ilikua imezimwa.
Nikamfuata Meneja wao wa huduma kwa wateja kwakua nilikua na pesa nyingi za DEPOSIT na isingekua hekima kusimama nazo mda mrefu kwenye dirisha ambalo ni moja, na wakati huo kuna wateja wanasubiri, Alinijibu kirahisi kuwa atafuatilia kujua nini kinaendelea.
Kwa udadisi wangu , nilichogundua hiyo Benki inawatu wavivu , wasiojituma, wanaona raha kuona foleni ndefu .
Nampango wakuacha kuitumia hii Bank , maana naona wafanyakazi wake hawajajua thamani ya muda na kwakua NMB SI BABA YANGU ACHA NIENDE KWA BENKI ZINGINE.
Kwa foleni kila mtu anajua NMB ndio mabingwa.
Kuna banks mwanza zajitahidi na kila siku matawi yanafunguliwa.
Mie nipo CRDB,Backlays na EXIM.
OTIS
Jaman kwani usiende NBC! Bank ya ukweli Tanzania.
chakushangaza ni kuwa hawastuki wala hawastuliwi na idadi ya wateja katika foleni isiyotembea , wanafanya kazi kijamaa
Kiukwel hata kama wateja ni weng kuonekane kuna juhud za kupunguza folen. Mi ilinikuta nikauliza nkaambiwa wako meeting mara kama 3 hv.Nikahoj ina maana hawajali wateja kwa kuweka vikao muda wa kaz hasa kwa telers! Uhalisia,Nmb wana upungufu wa workers.Sijawah kukuta madirisha yote yanafanya kaz tokea nianze ku2mia benk hii. CRDB wanajitahid sana hasa kujipanua,nikiwa dar napenda ku2mia taw la premier la mkapa tower no folen at all cjui wa2 hawajajua kwamba ndan kuna benk.Weng wanadhan ni atm's 2.
Hata wasipoingiza faida wanalipwa, haina hasara, be ashamed of ur services plz
Sasa kama wateja wengiwanashindwa kuwahudumia kwa nini wasisitishe kuandikisha wateja wapya au kuongeza resources (human or otherwise) ili kuwahudumia wateja kwa namna bora zaidi?TaiJike Kumbuka lakin NMB ndio bank yenye wateja wengi, vile vile ni bank yenye matawi mengi nchini. Mi naona wateja ndio wamezidi capacity ya bank.