Jamani hata pale HQ ni kero, kinachoniuzi ni wahudumu wao wasivyo na haraka, wamejaa nyodo na dharau. yani unaweza kufika ukaongea na mtu anakuangalia tu na anaendelea na kazi zake, at times i feel like slaping them, they are damn slow and confident. Hawaogopi ushindani simply because wana uhakika na idara zote za serikali ni wateja wao ll! we need to change people.