Tafadhali wahusika wa hiyo idara sikilizeni wateja,
1. Ni rahisi sana kujifunga bila sababu za maana
2. Ukipiga simu hawapokei na mmoja akipokea anakurusha kwa mwingi aidha asipokee na pia akipokea anakupa namba ya mwingene tena mwisho hakuna msaada kbs
3. Uwongo wao sipo ofisini nitumie user ID na Jina kwenye msg nikifika ofisini nakutumia kwenye email hapo ndio kwa heri.
4. Mfumo mzima wa Internet banking sio rafiki kabisa complicated