Misingi ya benki ni ileile iwe ya Ulaya iwe ya bongo japo zinatofautiana kwa lugha za kibiashara,ama ya kibaguzi,ama ya kinyonge ama ya kiwatu,ama ya kimafia,tofauti ya hizi nyingine,NMB is least innovative ndo sababu wafanyabiashara hawaitaki hvyo haina wateja,serikali inaifanya isurvive kwa kupitia mishahara ya wafanyakazi ambao ndo wanyonge wa nchi hii,hvyo inaavaa mask ya wanyonge wakati yenyewe si nyonge,ila principally,benki ni benki tu!
Misingi ya benki ni ileile iwe ya Ulaya iwe ya bongo japo zinatofautiana kwa lugha za kibiashara,ama ya kibaguzi,ama ya kinyonge ama ya kiwatu,ama ya kimafia,tofauti ya hizi nyingine,NMB is least innovative ndo sababu wafanyabiashara hawaitaki hvyo haina wateja,serikali inaifanya isurvive kwa kupitia mishahara ya wafanyakazi ambao ndo wanyonge wa nchi hii,hvyo inaavaa mask ya wanyonge wakati yenyewe si nyonge,ila principally,benki ni benki tu!
Wacha kupotosha kama hujuhi kaa kimyaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!
Less innovative kwenye nini?
haitegemei serekali ila serekali ndio inaitegemea kunasehemu NMB wana matyawi ambayo hayalipi ila yapo tu kwaajili ya kutoa huduma na kuisaidia serekali.
Wafanya biashara wawapi hao wasio itaka NMB? labada mafisadi mnaogopa kukutana kwenye foleni na mano waibia walala hoi!
Watumishi wanyonge serikalini na wanaoonewa na kunyanyaswa ni walimu.Huoni jinsi wanavyoidai serikali malimbikizo yao miaka nenda rudi.... naomba uongeaa kitaalamu tafadhali.. kwahiyo wanyonge ni watumishi gani hasa.. na kwa niniii?
.. jamani wataalamu wa uchumi tusaidieni sisi wananchi wanyonge kwa hili..
bank hii ilijitangaza kuwa ni ya wakulima..maana watu wa kipato au familia MASIKINI..(KAMA ANAVYOJIITA MH PINDA)... lakini saivi ni kinyume .. inafanya kazi kama benki nyingine za kibepari nchini.. sizitaji nafahamu kuwa mwazielewa..
Nasema kwasababu leo hii ukienda Nmb kama AC yako ina " LAKI MOJA NA ELFU NNE" 104,OOO Tsh wanadai eti huwezi toa laki, ila chako ni 90 elfu. sasa swali langu kwa wachumi? What is hapenin in TZ...?
Sasa kwanini u-withdraw hela zote?
Nilazima ubakize kilinda mfuko bana,mimi sikulaumu ila unatakiwa uwe na minimum amount itakayokuwa inalinda account yako.
Unajua sisi masikini tuna MPC kubwa kuliko MPS
na Matajiri wana MPC ndogo kuliko MPS.
MPC=MARGINAL PROSPERITY TO CONSUME
MPS=MARGINAL PROSPEITY TO SAVE.
Sasa kwanini u-withdraw hela zote?
Nilazima ubakize kilinda mfuko bana,mimi sikulaumu ila unatakiwa uwe na minimum amount itakayokuwa inalinda account yako.
Unajua sisi masikini tuna MPC kubwa kuliko MPS
na Matajiri wana MPC ndogo kuliko MPS.
MPC=MARGINAL PROSPERITY TO CONSUME
MPS=MARGINAL PROSPEITY TO SAVE.
Watumishi wanyonge serikalini na wanaoonewa na kunyanyaswa ni walimu.Huoni jinsi wanavyoidai serikali malimbikizo yao miaka nenda rudi.
.. jamani wataalamu wa uchumi tusaidieni sisi wananchi wanyonge kwa hili..
bank hii ilijitangaza kuwa ni ya wakulima..maana watu wa kipato au familia MASIKINI..(KAMA ANAVYOJIITA MH PINDA)... lakini saivi ni kinyume .. inafanya kazi kama benki nyingine za kibepari nchini.. sizitaji nafahamu kuwa mwazielewa..
Nasema kwasababu leo hii ukienda Nmb kama AC yako ina " LAKI MOJA NA ELFU NNE" 104,OOO Tsh wanadai eti huwezi toa laki, ila chako ni 90 elfu. sasa swali langu kwa wachumi? What is hapenin in TZ...?
Achana na hiyo yako ya kutaka kutoa laki ukakataliwa, mimi ni mjasiriamali mdogo nilikwenda kwa lengo la kukopa nikiwa na dhamana ya nyumba nziri tu, biashara ya mtaji wa zaid ya mil 15 kwa mtazamo wangu nikajua at least watanikopesha nusu ya mtaji wa dukani, bt wakaniambia wananipa mil 1.5 nilikasirika sana nikaona haina hata haja ya kukopa hapo coz mpaka nije kupanda cheo kukopeshwa mil 5 itachukua miaka 3 na wakati vigezo ninavyo na biashara imeshakaa mwaka1. Hii NMB ipo kurudisha maendeleo ya wananchi nyuma kwa sababu unamkopesha mwalimu, nurse, daktari, polisi, na wafanyakazi wengine wa serikali kwa kuwalaghai wakati wanajua hawana biashara na lazima watawakata pesa kwenye huo mkopo kwa muda wa mwaka mzima ambapo mkopaji anakuwa kapata hasara kwa makato ya mkopo kuchukua muda mrefu, Pumbav sana na benki yenu,
Hakuna upotoshaji bana,asilimia tisini wateja ni watumishi wa serikali(90%) mtu mwenye akili timamu hafungui akaunti NMB,na kwa taarifa yako mafaida makubwa wanayotangaza 90% ni mkopo wa mishahara ya watumishi wa umma,rejea ugomvi wa Zitto na Mkulo waziri wa fedha japo alikanusha lakini hana data hivyo utetezi wake ni mufilisi hatuitaji.Hivyo ndugu yangu hakuna upotoshaji hapo ni ukweli mtupu serikali ndio imeishikilia NMB,Halmashauri zote kila senti inayokusanywa kama kodi inapelekwa pale. Serikali kuwa main account NMB ni moja ya masharti ya mwekezaji toka uholanzi.Wewe jiulize zipo benki ambazo ni 100% owned by serikali yetu kwanini isizitumie hizo?nchi yetu imeoza kila sehemu naomba uwe muangalifu kuponda hoja za wenzako,fanya kwanza utafiti,hicho kidogo nilichokupa kinaweza kukupanua mawazo ukajua nini cha kusema,hapo hakuna upotoshaji.
Kaka pole sana ndugu yangu, Ila kasome tena masharti ya akaunti yako na huwe unafuatilia matangazo ya mara kwa mara!
Ila ukweli ni kwamba kwa NMB ni lazima akaunti ibakie na 5,000/=
Pia kwa sikuhizi kutokana na hela ya kibongo kukosa thamani NMB kenye ATM wanaweka 10,000/= tu na hawaweki tena 5,000/=, 1,000/= na 500/= kwani ukifanya hivyo ATM zitakuwa zinachukua hela kiasi kidogo sana na safari za kuongeza hela zitakuwa nyingi sana!
kwa kuwa ulikuwa na shilingi 104,000/= na ukitoa 5,000/= na ukitoa withdrwa fee ya 500/= unabakia na 98,500/= kuwa atm huwezi pata hiyo 8,500/= bali 90,000/= tu kwa noti za 10,000/= tisa(9), Sasa basi kwa ujanja wa kimjinimjini ulitakiwa uongeze hapo at leat 1,500/= kwenye akaunti ili uweze kutoa 100,000/=
propensity to consume mkuu,hivi ni propensity au prosperity?
Ok.. kumbe ishu ni uchumi umeshuka... painful.. sasa mkuu yaani nipange foleni mita 200.. kuongeza 1500 tu.