NMB loan

giraffe

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2010
Posts
630
Reaction score
257
mimi ni mwajiriwa wa serikali take hm mshahara ni 420,000.Nataka kukopa milion 5 nmb,je nakolify?naomc kujua interst rate zao ni kiasi gani na loan period zao.
 
Nmb sidhani kama kuna mteja wanamkataa. Na loans zao nadhani zinaenda hata miaka sita. Tembelea tawi lolote nadhani utapata ushauri ama piga hii 022 2668871 watakupa maelekezo.
 
Nmb sidhani kama kuna mteja wanamkataa. Na loans zao nadhani zinaenda hata miaka sita. Tembelea tawi lolote nadhani utapata ushauri ama piga hii 022 2668871 watakupa maelekezo.

Hasante nitajaribu kuwapigia
 
mimi ni mwajiriwa wa serikali take hm mshahara ni 420,000.Nataka kukopa milion 5 nmb,je nakolify?naomc kujua interst rate zao ni kiasi gani na loan period zao.
Mkopo wa NMB maximum ni mara kumi ya take home yako.
Kwa mshahara wako haujaqualify kuchukua 5M.
Umequalify kuchukua 4,200,000/=
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…