NMB Mafinga waja na maboresho ya huduma kwa wateja

President Elect

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
693
Reaction score
212
Mimi ni mteja wa benki zaidi ya tano hapa nchini, nikijumuisha akaunti kadhaa za biashara na akiba kwa matumizi binafsi. Kilichonifurahisha wiki mbili zilizopita, nikiwa njiani kwenda Tunduma (mpakani mwa Zambia na Tz) ilinibidi nisimame kwa muda mjini Mafinga na kuingia katika tawi la NMB kufanya muamala wa kuhamisha fedha kulipia mzigo moja kwa moja kwenda akaunti ya supplier. Huduma niliyoipata iliniridhisha sana, wameboresha kwa kutenga dirisha la kupokelea fomu za funds transfer, hivyo mteja hakai foleni muda mrefu. Big up NMB Mafinga Branch!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…