Nmb nashindwa kuwaelewa

Nmb nashindwa kuwaelewa

Wisdom youlth

Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
73
Reaction score
17
Wadau nimeishi nje ya nchi kwa miaka mitatu na bado nipo huku, tatizo ni hivi wakti nakuja huku niliko niliacha ankaunti yangu ikiwa na laki tano kuilinda mda wa miaka mitatu mwaka jana nikatuma mtu anifanyie diposit kufika huko akaambiwa akaunti imefungwa, nacho jiuliza itawezaje fungwa na kukiwa na pesa yangu? Pili nikaona isiwe tabu nikamtumiamdogo wangu wa form 2 afungue akaunti yeah amefanikiwa cha ajabu kadi wamempa haina picha.
 
Nilifuatilia kwa karibu sana nikaambiwa kuna malalamiko ya haina hiyo yanashugulikiwa kwa kua mda niliokua nao haukutosha kuhangaiki je vipi kwa hili la bwana mdogo kupewa kadi bila picha halina tabu?
 
Mie pia nina mdogo wangu kafungua akaunti miezi miwili nyuma, wiki iliyopita kapewa ATM kadi haina picha
 
Duh kilo 5 nyingi sana mkuu,fuatilia inawezekana watu wamepiga hapo,
kabla ya kufunga account huwa wana communicate na mwenye acc,so incase wakikuta hupatikani
imekula kwako,wanakomba mkwanja wanafunga acc!!Hamna kama kibubu,nyie endeleeni kuweka hela benki tu
 
Dormant accounts ambazo huwa zinafungwa ni zile ambazo zinakuwa na amounts ndogo sana labda sh 1000 au 2000. Kwanza cheki monthly charges zilikuwa sh ngapi kwenye hiyo account pengine ulikuwa na product inayo charge 20,000 kwa mwezi utakuta hiyo 36 months ni 720,000 hapo hamna ujanja zikishaisha lazima waigunge isiende kwenye negative balance.

Lakini kiutaratibu benki inatakiwa ikufahamishe kabla hawajafunga account yako kwa barua au wakupigie simu lakini BOT huwa wanasisitiza barua. Sasa ukiweza waandikie barua kali ya ku demand maelezo as to why account yako imefungwa bila taarifa wakati ilikuwa ina pesa za kutosha. Ila i would suggest uhakikishe kwanza kwamba ndugu zako kweli walikuwekea hizo pesa isijekuwa walikula au uliacha kadi ya ATM na password.

Hiyo barua tuma kwa branch manager, copy kwa mkuu wa customer service, copy kwa CEO wa NMB na copy moja kwa BOT Director wa Banks Supervision uki demand maelezo ya kina. BOT wakiipata sitegemei kama watakujibu chochote au kusema chochote ila next time wakienda kufanya examination lazima wataangalia utaratibu wao wa handle dormant accounts na wakikutwa wana utaratibu mbovu wanapigwa rungu.

Fanya hivyo mkuu watakushughulikia.
 
Wadau nimeishi nje ya nchi kwa miaka mitatu na bado nipo huku, tatizo ni hivi wakti nakuja huku niliko niliacha ankaunti yangu ikiwa na laki tano kuilinda mda wa miaka mitatu mwaka jana nikatuma mtu anifanyie diposit kufika huko akaambiwa akaunti imefungwa, nacho jiuliza itawezaje fungwa na kukiwa na pesa yangu? Pili nikaona isiwe tabu nikamtumiamdogo wangu wa form 2 afungue akaunti yeah amefanikiwa cha ajabu kadi wamempa haina picha.

nasikitika sana ndugu yangu kukaa kote nje unakuwa na uelewa mdogo sana katika masuala ya kibenki! inakuwa hivi akaunti yoyote ambayo sio fixed isipokuwa na operation yoyote kwa maana ya kudeposit au kutoa pesa ndani ya mwaka mmoja...inafungwa, na kufungwa kwake sio kwamba hela zako zinachukuliwa la hasha, unatakiwa kujaza fomu maalum na kulipia sh elfu kumi kama sikosei then akaunti na hela zako zinarudi kama ilivokuwa.

pili, suala la kutokuwa na picha kwenye ATM card ndio taratibu za kisasa..wewe huko uliko nje huoni hata ATM card za wenzetu...??? zina picha? cha msingi hapa ni details tu za akaunti ya mteja husika.
 
nasikitika sana ndugu yangu kukaa kote nje unakuwa na uelewa mdogo sana katika masuala ya kibenki! inakuwa hivi akaunti yoyote ambayo sio fixed isipokuwa na operation yoyote kwa maana ya kudeposit au kutoa pesa ndani ya mwaka mmoja...inafungwa, na kufungwa kwake sio kwamba hela zako zinachukuliwa la hasha, unatakiwa kujaza fomu maalum na kulipia sh elfu kumi kama sikosei then akaunti na hela zako zinarudi kama ilivokuwa.

pili, suala la kutokuwa na picha kwenye ATM card ndio taratibu za kisasa..wewe huko uliko nje huoni hata ATM card za wenzetu...??? zina picha? cha msingi hapa ni details tu za akaunti ya mteja husika.

Well said!
 
Nilifuatilia kwa karibu sana nikaambiwa kuna malalamiko ya haina hiyo yanashugulikiwa kwa kua mda niliokua nao haukutosha kuhangaiki je vipi kwa hili la bwana mdogo kupewa kadi bila picha halina tabu?


ATM ZAO NOWADAYS hazina picha.
 
kama wanataka kuiga kila kitu cha nje waige kuleta mashine za ATM zisizomeza kadi za Benki
huko nje unaswap au unaingiza na kuchimoa kabla hujafanya transaction, hii teknolojia ya kumeza kadi za benki ishapitwa na
wakati
 
nasikitika sana ndugu yangu kukaa kote nje unakuwa na uelewa mdogo sana katika masuala ya kibenki! inakuwa hivi akaunti yoyote ambayo sio fixed isipokuwa na operation yoyote kwa maana ya kudeposit au kutoa pesa ndani ya mwaka mmoja...inafungwa, na kufungwa kwake sio kwamba hela zako zinachukuliwa la hasha, unatakiwa kujaza fomu maalum na kulipia sh elfu kumi kama sikosei then akaunti na hela zako zinarudi kama ilivokuwa.

pili, suala la kutokuwa na picha kwenye ATM card ndio taratibu za kisasa..wewe huko uliko nje huoni hata ATM card za wenzetu...??? zina picha? cha msingi hapa ni details tu za akaunti ya mteja husika.

Upo sahihi mkuu
Bank hawafungi akaunti ya mtu kirahisi hivyo na hasa kama inapesa, kilichopo ni kwamba account isipotumika kwa muda fulani inakuwa dormant, kinachotakiwa kuna taratibu za kufanya kui activate basi
Hata hivyo utakuta kuna makato kibao
kuhusu ATM card za siku hizi hazinna picha
Mkuu mleta madai inaonekana huko ulipo bank unapaona kituo cha polisi..........kidding
 
kama wanataka kuiga kila kitu cha nje waige kuleta mashine za ATM zisizomeza kadi za Benki
huko nje unaswap au unaingiza na kuchimoa kabla hujafanya transaction, hii teknolojia ya kumeza kadi za benki ishapitwa na
wakati

Kunatofauti kubwa sana kati ya kuiga na kwenda na wakati
 
Nashukuru wanajamvi kwa mashauri yenu, kuna walio ni pm kwa msaada wa maelekezo zaidi nashukuru sana wapendwa "nimetoa ujinga"
 
Back
Top Bottom