agwambo halisi
Member
- Jan 22, 2014
- 42
- 2
naomba kujuzwa NMB wanakata makato ya asilimia ngapi ukichukua mkopo, mfano mkopo wa miaka 2,3,4,5 na mambo yapi yanazingatiwa naombeni msaada jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamega kwenye "Basic Salary" ya sasa. Hivyo baada ya kuchukua mkopo take home yako itakuwa pungu kwa kwa asilimia wanayo kukata.
mkuu, vipi kama unataka kuchukua mkopo kupitia land/house lease, hii inakaaje?