agwambo halisi
Member
- Jan 22, 2014
- 42
- 2
Wanamega kwenye "Basic Salary" ya sasa. Hivyo baada ya kuchukua mkopo take home yako itakuwa pungu kwa kwa asilimia wanayo kukata.
mkuu, vipi kama unataka kuchukua mkopo kupitia land/house lease, hii inakaaje?