NMB wanapokutumia SMS kwamba karibu upate Mkopo wenye riba nafuu, je, ni kweli wanatoa mikopo hiyo?

NMB wanapokutumia SMS kwamba karibu upate Mkopo wenye riba nafuu, je, ni kweli wanatoa mikopo hiyo?

Political Engineer2

Senior Member
Joined
Feb 23, 2018
Posts
149
Reaction score
117
Wakuu hivi NMB wanapokutumia SMS kwamba karibu upate Mkopo wenye riba nafuu kwa kukitaja jina kabisa,wanakuwa wanapata wapi taarifa zako?

Je wako serious watakupa mkopo?

Je wametumia kigezo gani kuku identify kwa jina na kukutaja ?

Je hawatahitaji dhamana?

Asante karibu wenye uzoefu na swala hili.
 
Ulishawahi kukopa? kama umewahi namba yako wanayo kwenye fomu.
Kama mtumishi na huna deni unaweza kupata
 
Wakuu hivi NMB wanapokutumia SMS kwamba karibu upate Mkopo wenye riba nafuu kwa kukitaja jina kabisa,wanakuwa wanapata wapi taarifa zako?

Je wako serious watakupa mkopo?

Je wametumia kigezo gani kuku identify kwa jina na kukutaja ?

Je hawatahitaji dhamana?

Asante karibu wenye uzoefu na swala hili.
Mengine yote achana nayo ila ukikopa Laki 5, ambayo ni sehemu ya mshahara wako... Gharama zinafika elfu 50
 
Kumbe...!
wevi sana hawa watu na CRDB pia.. Hizi bank mbili zime introduce kitu kinaitwa salary advance.... Unakopa si zaidi ya nusu ya mshahara wako ambao unapitia kwenye bank zao....
Viwango vya gharama za mkopo, riba na ushuru ni kidogo sana ukitoa mfano wa mtu anayekopa elfu tano au kumi.... Sasa njoo kwenye uhalisia mshahara wako ni 2M na unataka salary advance ya 1M
Na unapata chini ya dakika 5... Lakini vile vile na lazima yawepo Makubaliano na mwajiri wako.... Sasa mtandao umekuja kurahisisha mambo lakini wao wameona ndio chance ya kupiga hela
 
Acheni longo longo nyie!Hii mikopo wengine tunaitafuta kwa mbinde halafu nyie mnazingua!Hii ni kwa ajili ya wanaume wa kazi,tatizo watoto wa kike mnapoanza kupokea mishahara kupitia benki mkipewa ofa ya mikopo mnawaza kuibiwa ibiwa tu.
Waachieni wanaume ndo wanajua jinsi pesa inavyozungushwa na kuleta faida
 
Acheni longo longo nyie!Hii mikopo wengine tunaitafuta kwa mbinde halafu nyie mnazingua!Hii ni kwa ajili ya wanaume wa kazi,tatizo watoto wa kike mnapoanza kupokea mishahara kupitia benki mkipewa ofa ya mikopo mnawaza kuibiwa ibiwa tu.
Waachieni wanaume ndo wanajua jinsi pesa inavyozungushwa na kuleta faida
Safi sana.

Umeongea kiume,
hawa watumishi wana bahati sana ila wanazichezea.

Upele umemwota asiye na kucha
 
Back
Top Bottom