Wakuu kuna tetesi flan nimesikia kwamba nmb wameongeza kiwango wanachoweza kuwakopesha watumishi wa umma,ina ukweli hyo?
nawasilisha
bro,wameongeza na wananunua deni ulilo kopa kwenye taasisi zingine za fedha,tembelea tawi lolote ukapate maelezo zaidi.
ni kweli wameongeza umri wa mikopo hadi miaka mitano. lkn dado kuifikia CRDB.
nilienda kuuliza nitapata beu gani, crdb wakasema 11,200,000, wakati NMB wakasema 10,500,000 lkn riba ya nmb ikawa juu kwa tofauti na crdb kwa 460,000s hivi.
nataka kuwaona tpb ili nione pafaapo.
NTAGUNGA, mkopo huo ni kwa mfanyakazi anayepokea shilingi ngapi kwa mwezi?
Mkuu, vipi unafahamu mashariti ya huo mkopo wa biashara? Nahisi kama umenivutia..Mikopo ya watumishi wa umma ni majanga kama huendi kuzalishia. Maana muda wa marejesho ni mrefu sana mimi nilikopa 6.5 m marejesho ni miezi 48 na riba ilikuwa tshs 3.2m. Mshahara wangu sio mkubwa hivyo ni full maumivu. Ukizingatia mkopo nilinunulia plot. Hivyo hii mikopo ya watumishi ni full maumivu na mateso juu kama nia siyo biashara. Mikopo ya biashara ni cheap pamoja kuwa ina marejesho makubwa hivyo biashara inatakiwa kuwa na tija ya kurejesha mkopo mf 15m riba ni 1m marejesho ni around 13 months. Uamuzi ni wetu
ndugu unaweza kwenda tawi lolote la NMB na kuulizia mashart ya mikopo ya biashara wanaelekeza vizuri sana. Mimi sijui masharti yote ila wanaangalia biashara yako, mauzo na wanakukokotolea kiasi unachostahili na ni lazima uwe na biashara kwani pia unatakiwa mauzo yaingie bank kwa wiki ndo ukachukue kununuia bidhaa.Mkuu, vipi unafahamu mashariti ya huo mkopo wa biashara? Nahisi kama umenivutia..
Wakuu kuna tetesi flani nimesikia kwamba NMB wameongeza kiwango wanachoweza kuwakopesha watumishi wa umma,ina ukweli hiyo?
Nawasilisha.
Mikopo ya watumishi wa umma ni majanga kama huendi kuzalishia. Maana muda wa marejesho ni mrefu sana mimi nilikopa 6.5 m marejesho ni miezi 48 na riba ilikuwa tshs 3.2m. Mshahara wangu sio mkubwa hivyo ni full maumivu. Ukizingatia mkopo nilinunulia plot. Hivyo hii mikopo ya watumishi ni full maumivu na mateso juu kama nia siyo biashara. Mikopo ya biashara ni cheap pamoja kuwa ina marejesho makubwa hivyo biashara inatakiwa kuwa na tija ya kurejesha mkopo mf 15m riba ni 1m marejesho ni around 13 months. Uamuzi ni wetu
Hivi kwa NMB kama unakopeshwa 13M kwa miaka 5 unatakiwa kulipa bei gani?,nataka kufanya maamuzi magumu.Pia salary scale yangu ni TGS E/1
Mmh hiyo riba mi asilimia 50?ndugu unaweza kwenda tawi lolote la NMB na kuulizia mashart ya mikopo ya biashara wanaelekeza vizuri sana. Mimi sijui masharti yote ila wanaangalia biashara yako, mauzo na wanakukokotolea kiasi unachostahili na ni lazima uwe na biashara kwani pia unatakiwa mauzo yaingie bank kwa wiki ndo ukachukue kununuia bidhaa.