Nmechoshwa na WWE naamia AEW , Roman Reign kila pambano anasaidiwa tuuu

Nmechoshwa na WWE naamia AEW , Roman Reign kila pambano anasaidiwa tuuu

Concoo

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2018
Posts
320
Reaction score
492
Wakuuu hii entertainment inanichosha sana skuizi umekuwa ya kiwaki sana. Mapambano yote bingwa anasaidiwa tuuu inabore sana hawa jamaa watapoteza mashabiki mno.
 

Attachments

  • 4BE8E3D0-B832-4F0D-85A2-9046A5726E90.jpeg
    4BE8E3D0-B832-4F0D-85A2-9046A5726E90.jpeg
    46.2 KB · Views: 6
niliacha kuangalia WWE kwa storylines na scriptings za kingese

AEW nao jau, wanachukua left overs za WWE zilizozeeka wanapicha uko
 
Back
Top Bottom