Nmeibiwa simu, kesi iko mahakamani. Maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?

Nmeibiwa simu, kesi iko mahakamani. Maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?

Pagani Zonda

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2018
Posts
685
Reaction score
468
Wakuu mimi kuna mtu aliniibia simu yangu usiku wa saa tisa nilimuona dirishani(kuna taa imefifia mwanga lakini unaweza kumuona mtu na mlangoni(pale mlangoni kuna ka duara hivi kwahiyo kabla ya kufungua mlango nilimuona na penyewe kuna taa ambayo inamulika vizuri) sasa zikapita siku nikawa namuona sehemu. Ikabidi niende kumshtaki.

Wakauliza anapokaa anasema mtaa ule ule ninaokaa mimi, ila kijana akakataa kata kata kwamba siyo yeye, wakati yeye ndiye niliyemuona ila anabisha. Basi wakasema kesi ipelekwe mahakama. Ndiyo tunasubiria week ijayo.

Vipi ni maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?
 
Ulimuona na wala hukufanya chochote ukamuangalia tu anasepa na simu.
Wakuu mimi kuna mtu aliniibia simu yangu usiku wa saa tisa nilimuona dirishani( kuna taa imefifia mwanga lakini unaweza kumuona mtu na mlangoni(pale mlangoni kuna ka duara hivi kwahiyo kabla ya kufungua mlango nilimuona na penyewe kuna taa ambayo inamulika vizuri) sasa zikapita siku nikawa namuona sehemu. Ikabidi niende kumshtaki. Wakauliza anapokaa anasema mtaa ule ule ninaokaa mimi, ila kijana akakataa kata kata kwamba siyo yeye, akati yeye ndiye niliyemuona ila anabisha . Basi wakasema kesi ipelekwe mahakama. Ndiyo tunasubiria week ijayo. Vipi ni maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?
 
Wakuu mimi kuna mtu aliniibia simu yangu usiku wa saa tisa nilimuona dirishani( kuna taa imefifia mwanga lakini unaweza kumuona mtu na mlangoni(pale mlangoni kuna ka duara hivi kwahiyo kabla ya kufungua mlango nilimuona na penyewe kuna taa ambayo inamulika vizuri) sasa zikapita siku nikawa namuona sehemu. Ikabidi niende kumshtaki. Wakauliza anapokaa anasema mtaa ule ule ninaokaa mimi, ila kijana akakataa kata kata kwamba siyo yeye, akati yeye ndiye niliyemuona ila anabisha . Basi wakasema kesi ipelekwe mahakama. Ndiyo tunasubiria week ijayo. Vipi ni maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?
Ningekuwa wakili wako, ningekushauri utumie njia mbadala (amicably) kabla ya uamuzi wa kwenda hata polisi. Hii ingekusaidia vitu vingi ikiwemo kukusanya ushahidi n.k, kwasababu kwa aina ya case yako (jinai) una ushahidi hafifu (wenye kuacha shaka) na hivyo unaweza jikuta simu umepoteza na muda pia umepoteza. Nakushauri next time ukiwa una haja ya kufikishana katika vyombo vya kisheria, wasiliana na wakili kwanza.

NI USHAURI TU✍🏽​
 
Ningekuwa wakili wako, ningekushauri utumie njia mbadala (amicably) kabla ya uamuzi wa kwenda hata polisi. Hii ingekusaidia vitu vingi ikiwemo kukusanya ushahidi n.k, kwasababu kwa aina ya case yako (jinai) una ushahidi hafifu (wenye kuacha shaka) na hivyo unaweza jikuta simu umepoteza na muda pia umepoteza. Nakushauri next time ukiwa una haja ya kufikishana katika vyombo vya kisheria, wasiliana na wakili kwanza.

NI USHAURI TU✍🏽​
Ushauri mzuri kabisa, kama hana ushahidi ndio kashapoteza hivyo ni bora alielewe hilo mapema kuepuka usumbufu.
 
Wakuu mimi kuna mtu aliniibia simu yangu usiku wa saa tisa nilimuona dirishani( kuna taa imefifia mwanga lakini unaweza kumuona mtu na mlangoni(pale mlangoni kuna ka duara hivi kwahiyo kabla ya kufungua mlango nilimuona na penyewe kuna taa ambayo inamulika vizuri) sasa zikapita siku nikawa namuona sehemu. Ikabidi niende kumshtaki. Wakauliza anapokaa anasema mtaa ule ule ninaokaa mimi, ila kijana akakataa kata kata kwamba siyo yeye, akati yeye ndiye niliyemuona ila anabisha . Basi wakasema kesi ipelekwe mahakama. Ndiyo tunasubiria week ijayo. Vipi ni maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?
Huwezi kushinda kesi hii Mahakamani kwa kutegemea ushahidi wako peke yako. Na ukiweka shahidi mwingine wa kupanga ndiyo utafutiliwa mbali mapema.
 
Wakuu mimi kuna mtu aliniibia simu yangu usiku wa saa tisa nilimuona dirishani( kuna taa imefifia mwanga lakini unaweza kumuona mtu na mlangoni(pale mlangoni kuna ka duara hivi kwahiyo kabla ya kufungua mlango nilimuona na penyewe kuna taa ambayo inamulika vizuri) sasa zikapita siku nikawa namuona sehemu. Ikabidi niende kumshtaki. Wakauliza anapokaa anasema mtaa ule ule ninaokaa mimi, ila kijana akakataa kata kata kwamba siyo yeye, akati yeye ndiye niliyemuona ila anabisha . Basi wakasema kesi ipelekwe mahakama. Ndiyo tunasubiria week ijayo. Vipi ni maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?
Hii kesi unashindwa, hata kama ukimkuta na simu bado unashindwa

Haswa kwenye swala la utambuzi, unapaswa uishawishi mahakama beyond reasonable doubt kuwa ni yeye na sii mwingine, kwanza unapaswa uieleze mahakama ni kwann ulikua macho saa tisa usiku na ikawaje ukawa unaangalia hayo maeneo ambayo mwizi angeweza kufanya jambo, na je alipoiba uliona au haukuona?

Reaction yako ilikuwa nn baada ya ulichokiona? Usiwaze sana kitu cha kumuuliza, waza sana ni kwa namna gani unaweza kujenga hoja ikaeleleweka kwanza.
 
Una muda wa kuchezea

Huo muda unouchezea mahakamani mimi nautumia kuchezea m figa wa wifi yako
 
Sasa Mkuu umemuona mwizi
Swali: Ulichukua hatua gani?
Jibu:___________________

Ukijibu tuendelee
(Hukuweza kuzuia simu isichukuliwe?)
(Hukuweza kupiga kelele za mwizi?)
 
Wakuu mimi kuna mtu aliniibia simu yangu usiku wa saa tisa nilimuona dirishani( kuna taa imefifia mwanga lakini unaweza kumuona mtu na mlangoni(pale mlangoni kuna ka duara hivi kwahiyo kabla ya kufungua mlango nilimuona na penyewe kuna taa ambayo inamulika vizuri) sasa zikapita siku nikawa namuona sehemu. Ikabidi niende kumshtaki. Wakauliza anapokaa anasema mtaa ule ule ninaokaa mimi, ila kijana akakataa kata kata kwamba siyo yeye, akati yeye ndiye niliyemuona ila anabisha . Basi wakasema kesi ipelekwe mahakama. Ndiyo tunasubiria week ijayo. Vipi ni maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?
Huna cha maana wewe andaa pesa za kumlipa fidia ya usumbufu na kumdhalilisha uyo unae muita mwizi ili siku nyingine iwe fundisho usikae macho usiku kuangalia mwizi anaiba bila kumchukulia hatua yoyote
 
Back
Top Bottom