Nmeokata laki 2 kwenye begi kariakoo za nani?

bishororo

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2017
Posts
254
Reaction score
358
Habari wana bodi leo mida ya saa 1 nmeokota takriban sh laki mbili na elfu 20 mitaa ya hapa msimbaz kwakuwa mm ni mwislam safi sitaki kuitumia mpk niitangaze akikosekana mwenyewe naitumbua ajitokeze jaman sambazen kwenye magrup sitk hela bila jasho langu
 
Mbona kama hueleweki vile?
 
Umefanya sahihi. Na mafundisho ya Quran na Sunna yanataka utangaze Kwa kipindi cha mwaka mmoja mzima Kabla haujakitumia ulichokiokota
 
lile sakata la uhakiki wa vyeti inabidi lirudiwe
 
Laki 2 Msimbazi ? Mtu una laki 2 halafu huna usingizi ? Usituzingue
 
In shaallah mwenyezi Mungu akujaalie ushikamane na msimamo wako. Jitahidi kumpata mwenyewe
 
Niazime Mimi ikipata mwenyewe uniambie nikutumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…