Nmeona kwenye ratiba Leo Kuna mech ya Simba na Biashara United,au nmekosea kuangalia??

Nmeona kwenye ratiba Leo Kuna mech ya Simba na Biashara United,au nmekosea kuangalia??

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Mwenye taarifa kamil antoe was was
Ikiwezekana antajie na muda wa mech il njiandae
 
Wewe jamaa unaonekana una wenge kule kwenye uzi ulioanzisha umetuambia mtoto wa darasa la pili anakuwa na miaka mitatu. Saivi tena unachanganya tarehe. Leo ni tarehe 2 mechi ya simba ni tarehe 4
 
Kolo Kadata Aaah Mayele Sio Mtu Mzuri Watu Washapagawa Gape La Point 11 Linaleta Wenge [emoji23][emoji23]
 
Kocha bahati kapoteza kwa wananchi kashajifunza kitu hawezi poteza tena kwa makolo.
 
Wewe jamaa unaonekana una wenge kule kwenye uzi ulioanzisha umetuambia mtoto wa darasa la pili anakuwa na miaka mitatu. Saivi tena unachanganya tarehe. Leo ni tarehe 2 mechi ya simba ni tarehe 3.
Ni tarehe 4 ijumaa
 
Back
Top Bottom