Nnaomba utaalamu wa kujua ovulation dates kwa thermometre

Nnaomba utaalamu wa kujua ovulation dates kwa thermometre

Tafakuru

Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
83
Reaction score
33
Wanajamvi, nmeskia kuwa unaeza kufanya uzazi wa mpango kwa kuruka kufanya mapenz siku za hatari; Hii ni kawaida ila njia yenyewe ya kuitambua siku halisi ya hatari ndio sina utaalamu nayo maana naskia ni kwa kuangalia changes za body temperature ( jotoridi la mwili)
Yeyote mwenye ujuzi anisaidie hasa madaktari na waschana wenzangu wazoefu
 
Back
Top Bottom