Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,377
- 2,048
Ushapata tiba,?Habari za humu wana Jf
Ninaomba kufaham ni wapi au njia nnaweza kupata dawa ya ugonjwa wa uhanithi.Nina rafiki yangu ana hilo tatizo dushe yake inasimama kwa mwaka mara moja tu.
Je kuna tiba ya huu ugonjwa jamani.??
hizi vuzi ni uchafu au khaaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]View attachment 432619 Hauna Tiba
Kwani akiwa yeye au nduguye, nini tofauti.sema ni mm tukusaidie.km umezaliwa hivo huo ni ulemavu tyr