BLUE BALAA JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 1,222 Reaction score 776 Mar 11, 2012 #1 Naomba kujuzwa tafadhali. Ni kwanini namba 13 inasemekana ni namba ya Mkosi?
J JATELO1 JF-Expert Member Joined Oct 31, 2011 Posts 1,230 Reaction score 301 Mar 11, 2012 #2 waulize wazungu ni kwanini kwao tarehe 13 ikiangukia Ijumaa kwao ni mkosi. Siamini hilo kwa waafrika pia.
waulize wazungu ni kwanini kwao tarehe 13 ikiangukia Ijumaa kwao ni mkosi. Siamini hilo kwa waafrika pia.
BLUE BALAA JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 1,222 Reaction score 776 Mar 11, 2012 Thread starter #3 RDI said: waulize wazungu ni kwanini kwao tarehe 13 ikiangukia Ijumaa kwao ni mkosi. Siamini hilo kwa waafrika pia. Click to expand... Wewe kama huna majibu kaa pembeni si lazima uandike.
RDI said: waulize wazungu ni kwanini kwao tarehe 13 ikiangukia Ijumaa kwao ni mkosi. Siamini hilo kwa waafrika pia. Click to expand... Wewe kama huna majibu kaa pembeni si lazima uandike.