No Agenda: Muziki ulimpenda Ben Pol, ila mapenzi ya Mkenya yamempenda zaidi

sikilizeni wimbo wa sikukuu, released 18th december 2019 kutoka kwa BEN POL
 

Unapokopy taarifa, ikibuma aibu unabeba wewe mkuu
 
Mtanzania halisi, umesikiliza, ukaamini, ukafanya yako...................mama yako aliposema baba yako JPM ukaanza kushinda geti la ikulu

grow up
Mambo yako wazi tu jombaaa huitaji degree kuona ben pol is no more
 
Wenye wivu hao hata hii hawajaona, jamani ina maana mwanamke akiwa na pesa asilewe? Watanzania ni watu wa ajabu sana mnaogopa kuoa matajiri mbona mnaoa maskini na ndoa hazidumu bado mnatalikiana kama umaskini ndio kipimo cha ndoa na kufanya kazi, wanaume wa kibongo bana, halafu manauliza kwa nini Regina Mengi hajaolewa kumbe ameogopwa maskini. Ndoa ni upendo na si utajiri wala umaskini.
 
Hakuna noma, usikute demu wenyewe hana mpango wala nini, sema wabongo kwa mapambio uwaache tu.
 
Hakuna noma, usikute demu wenyewe hana mpango wala nini, sema wabongo kwa mapambio uwaache.
.
Kikuyu unawajua? Huwa wapo strategic Kama Huna hela Basi uwe na brain angalau uzae watoto wenye akili
 
Wagogo asili yao ni kuomba omba
Ah mkuu Hadi kero
Hapa nlipopanga kunamgogo mmja juzi tungegombana
Yaani akisikia njaa anakuja kwangu,gonga yake ya mlango akibisha hodi ukikaa vibaya mlango unakufuata kitandani
Yaani Ni Ile mbaaaah mbaaah mbaaah!!!!!!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Ukifungua anataka either apashe maji,apike mboga,au ampashie mtoto wake uji sijui
Yaan kifupi vurugu
Afu sio mala moja yaani kageuza Ni kawaida

Juzi kaja nkamchomolea,nkamwambia gass imekata nakaona juzi tu nmebadiri
Ameninunia mazima
Poa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…