No arms,No legs,No worries.

Speaker

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
6,324
Reaction score
2,240
Mara nyingi tunapo pata ajali tu na kupoteza baadhi ya viuingo vya
miili yetu tua mlalamikia sana Mungu.Lakini kuna wengine wanatamani hata huo mguu/mkono
mmoja ungekuwa nao.

Tumshukuru Mungu kwa kila jambo,...Nick Vujicic (Tamka Nick Voicheech) alizaliwa bila mkono wala
mguu,...alimshukuru Mungu ingawa alipitia mengi sana hadi kuwa hapo alipo leo.

Ni motivational speaker,ametoa dvd yake inaitwa "No arms,no legs,no worries" ni nzuri sana.
Ina kupa moyo wa kusonga mbele na kuto choka katika kila hali.

Itafute.




 
Anacheza michezo mingi sana,ana afya tele.
tulio na miguu hata mazoezi hatufanyi.

 
Kuogelea huwezi muacha pia,...Una fanya nini na kile ulicho nacho?


 
Amesoma sana pia,ana Bachelor's degree, majoring in Accounting and Financial Planning toka Griffith University, Australia


 
Ameoa hivi karibuni,12 Feb 2012.
 
Namshukuru mungu kwa kile alichonijalia...............kama ilivyo mwanzo,sasa,na hata milele............Amen
 
Namshukuru mungu kwa kile alichonijalia...............kama ilivyo mwanzo,sasa,na hata milele............Amen

Kweli, yatupasa tumshukuru MUNGU kwa kila kitu. Tatizo wanadamu sisi huwa ni wasahaulifu. Wepesi wa kulaumu, na wagumu wa kugundua mema na baraka tulizoshushiwa.. Mungu atusamehe..
 
Kweli, yatupasa tumshukuru MUNGU kwa kila kitu. Tatizo wanadamu sisi huwa ni wasahaulifu. Wepesi wa kulaumu, na wagumu wa kugundua mema na baraka tulizoshushiwa.. Mungu atusamehe..

Ni vyema kukumbushana,kila mtu husahau.
 
Is all about being Positive ..

But sometimes negativity is very powerful that in some
situations you fail to tell which is positive and which is negative.

It's just Grace that takes you from a hopeless situation to a hero.
 
dah, kweli kabisa tumshukuru mungu kwa kila jambo jaman!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…