Mara nyingi tunapo pata ajali tu na kupoteza baadhi ya viuingo vya
miili yetu tua mlalamikia sana Mungu.Lakini kuna wengine wanatamani hata huo mguu/mkono
mmoja ungekuwa nao.
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo,...Nick Vujicic (Tamka Nick Voicheech) alizaliwa bila mkono wala
mguu,...alimshukuru Mungu ingawa alipitia mengi sana hadi kuwa hapo alipo leo.
Ni motivational speaker,ametoa dvd yake inaitwa "No arms,no legs,no worries" ni nzuri sana.
Ina kupa moyo wa kusonga mbele na kuto choka katika kila hali.
Kweli, yatupasa tumshukuru MUNGU kwa kila kitu. Tatizo wanadamu sisi huwa ni wasahaulifu. Wepesi wa kulaumu, na wagumu wa kugundua mema na baraka tulizoshushiwa.. Mungu atusamehe..
Kweli, yatupasa tumshukuru MUNGU kwa kila kitu. Tatizo wanadamu sisi huwa ni wasahaulifu. Wepesi wa kulaumu, na wagumu wa kugundua mema na baraka tulizoshushiwa.. Mungu atusamehe..