No diarra, no Aucho, no Pacome, no Musonda, no Guede, no Lomalisa no problem! Ni kisago tu, koplo mbangula alipigaje pale?

No diarra, no Aucho, no Pacome, no Musonda, no Guede, no Lomalisa no problem! Ni kisago tu, koplo mbangula alipigaje pale?

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Timu inayocheza kibingwa inaokota point aijalishi key prayers wake awapo ama wapo, kitendo Cha kuwakosa wachezaji muhimu 6 wa kikosi Cha kwanza na bado watu wakachapika ipasavyo ugenini ni ishara njema sana kuelekea ubingwa!

Kuna timu juzi walikosekana 4 tu wakapewa kichapo kilichomfanya mpaka kocha akaenda mapumziko kwao, uku Mzee wa mipasho akiwaambia mashabiki wao kuwa timu imechoka baada ya kumfunga jwaneng Sasa sijui yule aliyesafiri kwenda Misri na uyu aliyebaki ni nani alitakiwa achoke zaidi!

Muda mwingine unakubali tu kuwa quality ya wachezaji wako ni ndogo ukiongeza na umri kwenda awawezi kucheza mechi ngumu back to back mnaweza kuwapeleka mloganzila wakiwa hoi!

Point 46 kileleni, mapambano yanaendelea lakini KOPLO MBANGULA ALIPIGAJE PALE?
 
Hivi key players kwann hawajacheza leo? SABABU kubwa ni nini asa?
Wana majeraha, pacome aliumia tokea mechi na Belouzdad alikuwa anacheza akiwa na majeraha.

AUCHO kafanyiwa upasuaji mdogo kwenye goti lake atakuwa nje wiki 3, LOMALISA nae Ana majeraha, GUEDE matatizo ya kifamilia, Musonda nae majeraha madogo waliona wampumzishe pamoja na diarra
 
Timu inayocheza kibingwa inaokota point aijalishi key prayers wake awapo ama wapo, kitendo Cha kuwakosa wachezaji muhimu 6 wa kikosi Cha kwanza na bado watu wakachapika ipasavyo ugenini ni ishara njema sana kuelekea ubingwa!
Kuna timu juzi walikosekana 4 tu wakapewa kichapo kilichomfanya mpaka kocha akaenda mapumziko kwao, uku Mzee wa mipasho akiwaambia mashabiki wao kuwa timu imechoka baada ya kumfunga jwaneng Sasa sijui yule aliyesafiri kwenda Misri na uyu aliyebaki ni nani alitakiwa achoke zaidi!
Mda mwingine unakubali tu kuwa quality ya wachezaji wako ni ndogo ukiongeza na umri kwenda awawezi kucheza mechi ngumu back to back mnaweza kuwapeleka mloganzila wakiwa hoi!
Point 46 kileleni, mapambano yanaendelea lakini KOPLO MBANGULA ALIPIGAJE PALE????
koplo mbangula hatari
 
Back
Top Bottom