Jonatus
JF-Expert Member
- Dec 16, 2013
- 1,403
- 379
Hii ndiyo taarifa iliyotolewa na jkt katika website yao
Vijana waliomaliza kidato cha sita mwaka 2014
ambao walipangwa kujiunga na JKT awamu ya pili
na wana sifa za kujiunga na elimu ya vyuo vya
juu (Vyuo Vikuu) wanatakiwa kuandika barua ya
kuahirisha kuhudhuria mafunzo ya JKT mpaka
hapo watakapomaliza masomo yao. Barua hizo
ziwe zimefika Makao Makao Makuu ya Jeshi la
Kujenga Taifa kabla ya tarehe 15 Agosti, 2014.
Barua zinaweza kutumwa kwa:-
Anwani
Mkuu wa JKT
Makao Makuu ya JKT
P.o.Box 1694, Dar es Salaam
E-mail: info@jkt.go.tz (barua iwe na sahihi ya
mhusika na ifanyiwe scanning).
Barua iletwe na mhusika Makao Makuu ya JKT.
Vijana waliomaliza kidato cha sita mwaka 2014
ambao walipangwa kujiunga na JKT awamu ya pili
na wana sifa za kujiunga na elimu ya vyuo vya
juu (Vyuo Vikuu) wanatakiwa kuandika barua ya
kuahirisha kuhudhuria mafunzo ya JKT mpaka
hapo watakapomaliza masomo yao. Barua hizo
ziwe zimefika Makao Makao Makuu ya Jeshi la
Kujenga Taifa kabla ya tarehe 15 Agosti, 2014.
Barua zinaweza kutumwa kwa:-
Anwani
Mkuu wa JKT
Makao Makuu ya JKT
P.o.Box 1694, Dar es Salaam
E-mail: info@jkt.go.tz (barua iwe na sahihi ya
mhusika na ifanyiwe scanning).
Barua iletwe na mhusika Makao Makuu ya JKT.