No loan wa 2011 sua batch yenu hii hapa

No loan wa 2011 sua batch yenu hii hapa

rayman m

Senior Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
120
Reaction score
27
Yapata mwaka sasa toka vijana walio dahiliwa 2011 wameka bila mkopo na wengine hali haikuwa favour nature haikuwaselect wakang'atuka huku fitest waki survive kwa shida na raha. Kwa vijana wa SUA nawapongezeni batch yenu hii hapa ,......http://www.suanet.ac.tz/mikopo_2012_2013_batch_9.pdf. Mlio kosa hapa just calm down batch zingine zinjiani.
 
Back
Top Bottom