No one is above of laws, kutoka kwa babu seya,

No one is above of laws, kutoka kwa babu seya,

Joined
Nov 22, 2017
Posts
16
Reaction score
5
Eet, inasemekana maamuzi ya rais kumtoa babu seya kavunja katiba ya nchi kwasababu babu seya alikuwa kasha thibitishwa na mahakama kama ni anaatia, so nini maoni yako??
 
Ok, kuandika kiingereza siyo shida na mimi nilijua kuwa mtaelewa tu,,, Ok, lakini jaji aliweza kusamehe katika vipengere vipi vya kisheria?
 
Hata kama heading ungeandika kiswahili tungeelewa tu...!!!

Anyway, story za "inasemekana", huwa ni mawazo ya watu tu na story za vijiweni.

Nadhani hata Magu kamsamehe baada ya kuongea na Jaji Mkuu ili kupata msaada wa kisheria.
heading rekebisha umekosea kiingereza,
 
Magu kabla hajatangaza msamaha huo alirejea vifungu vya sheria vinavyompa mamlaka ya kusamehe mhalifu aliyetiwa hatiani na kuhukumiwa na mahakama,kwa kujua kuna watu kama wewe mwenye muono kama wako.
 
Mi sijakuelewa kabisa umetumia kidhungu cha nchi gani. { American/ British English}


#nakwenda_zimbabwe
 
Aaaaah aaaaah aaaaah,,,, hata vitabu vya shule vya kiswahili huwa vinakosea so isiwe kesi kiviileeee we toa yako tu
 
Back
Top Bottom