Na mbona mna-launch kabla ya barabara? ama hamkujua barabara itahitajika? U see how those state of the art terminus become useless?bara bara zinajengwa ... mtatoa makamasi roundi hii
kazi kubwa ilikuwa kuweka railway... tumemkula ng'ombe mzima(Railway) tutashindwa na mkia???Na mbona mna-launch kabla ya barabara? ama hamkujua barabara itahitajika?
hahaha deni la mchina litangoja sio?kazi kubwa ilikuwa kuweka railway... tumemkula ng'ombe mzima(Railway) tutashindwa na mkia???
just hold on to your - Mwenyekiti wa "Kamati ya Roho chafu", we will update you soon...
Mbona msishugulike na reli yenu?Na mbona mna-launch kabla ya barabara? ama hamkujua barabara itahitajika?
Onyesha hata 1kmπππbara bara zinajengwa ... mtatoa makamasi roundi hii
Mbona usishugulike na barabara za dodoma,tandale,kigoma,dar,Pemba etc?Onyesha hata 1kmπππ
Onyesha kama mumefika Naivasha, reli imeishia porini, 40K kufika Naivasha, mnashindwa hata kumalizia kuifikisha hapo Naivasha, Failed state.Walisema eti hatutofika naivasha, sai wamejeuza gear angani wakifuata habari zetu zinazo ongelea changamoto kabisa kuhusu reli yetu, tukifika kisumu mwisho watasema malaba, kamapala nako pia hvo hvo...
Mwisho watasema hamtofika Nigeria[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Onyesha kama mumefika Naivasha, reli imeishia porini, 40K kufika Naivasha, mnashindwa hata kumalizia kuifikisha hapo Naivasha, Failed state.