No Reforms, No Election: Ansbert Ngurumo rasmi kuisaidia CCM. Mtazame na msikilize anavyoishauri CHADEMA

No Reforms, No Election: Ansbert Ngurumo rasmi kuisaidia CCM. Mtazame na msikilize anavyoishauri CHADEMA

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267

View: https://youtu.be/ANA3rytxn0Q?si=6caBpBCIieREJQl7

➡Ukimtazama na kumsikiliza vizuri Ansbert Ngurumo ktk video hii unaweza kudhani ni mtu neutral, anayejaribu kushauri pande mbili ili kurekebisha mambo yao. Lakini ukweli ni kuwa, anajaribu kutumia ujuzi na usomi wake wa kihabari kupunguza makali ya kaulimbiu ya CHADEMA ya NO REFORMS, NO ELECTION ktk namna ya kuwa - confuse ambao tayari wameshaielewa na wako tayari kuitekeleza kwa vitendo...

➡Ukimtazama na kumsikiliza kwa makini utagundua kuwa, huyu bwana anauchukia kupindukia uongozi mpya wa CHADEMA chini ya Mwenyekiti mpya Tundu Lissu. Sikiliza kauli zake kwenye video hii...

➡Huyu bila shaka alikuwa ni mmoja wa chawa wa Freeman Mbowe aliyeshindwa. Na bado mpaka sasa haamini kuwa boss wake alishindwa na sio Mwenyekiti tena..!

##Hivi kwa akili za kawaida tu, mtu yeyote anaweza kujiuliza maswali haya:

1. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo haelewi mantiki ya kauli mbiu hii ya NO REFORMS, NO ELECTION..?

2. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo hajui kuwa kilele cha mfumo mbovu na mbaya kabisa wa uchaguzi Tanzania umethibitishwa na chaguzi za mwaka 2019, 2020 na 2024...?

#Anyway, hebu mtazame na msikilize hadi mwisho kisha, na wewe sema neno..
 

View: https://youtu.be/ANA3rytxn0Q?si=6caBpBCIieREJQl7

➡Ukimtazama na kumsikiliza vizuri Ansbert Ngurumo ktk video hii unaweza kudhani ni mtu neutral, anayejaribu kushauri pande mbili ili kurekebisha mambo yao. Lakini ukweli ni kuwa, anajaribu kutumia ujuzi na usomi wake wa kihabari kupunguza makali ya kaulimbiu ya CHADEMA ya NO REFORMS, NO ELECTION ktk namna ya kuwa - confuse ambao tayari wameshaielewa na wako tayari kuitekeleza kwa vitendo...

➡Ukimtazama na kumsikiliza kwa makini utagundua kuwa, huyu bwana anauchukia kupindukia uongozi mpya wa CHADEMA chini ya Mwenyekiti mpya Tundu Lissu. Sikiliza kauli zake kwenye video hii...

➡Huyu bila shaka alikuwa ni mmoja wa chawa wa Freeman Mbowe aliyeshindwa. Na bado mpaka sasa haamini kuwa boss wake alishindwa na sio Mwenyekiti tena..!

##Hivi kwa akili za kawaida tu, mtu yeyote anaweza kujiuliza maswali haya:

1. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo haelewi mantiki ya kauli mbiu hii ya NO REFORMS, NO ELECTION..?

2. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo hajui kuwa kilele cha mfumo mbovu na mbaya kabisa wa uchaguzi Tanzania umethibitishwa na chaguzi za mwaka 2019, 2020 na 2024...?

#Anyway, hebu mtazame na msikilize hadi mwisho kisha, na wewe sema neno..

Ajiangalie sana mara mbillimbili, huko aliko LISSU anakubalika


Hamna Mabadiliko, hamna uchaguzi ..hiii imeshaeleweka na CCM wenyewe wameielewa.
 

View: https://youtu.be/ANA3rytxn0Q?si=6caBpBCIieREJQl7

➡Ukimtazama na kumsikiliza vizuri Ansbert Ngurumo ktk video hii unaweza kudhani ni mtu neutral, anayejaribu kushauri pande mbili ili kurekebisha mambo yao. Lakini ukweli ni kuwa, anajaribu kutumia ujuzi na usomi wake wa kihabari kupunguza makali ya kaulimbiu ya CHADEMA ya NO REFORMS, NO ELECTION ktk namna ya kuwa - confuse ambao tayari wameshaielewa na wako tayari kuitekeleza kwa vitendo...

➡Ukimtazama na kumsikiliza kwa makini utagundua kuwa, huyu bwana anauchukia kupindukia uongozi mpya wa CHADEMA chini ya Mwenyekiti mpya Tundu Lissu. Sikiliza kauli zake kwenye video hii...

➡Huyu bila shaka alikuwa ni mmoja wa chawa wa Freeman Mbowe aliyeshindwa. Na bado mpaka sasa haamini kuwa boss wake alishindwa na sio Mwenyekiti tena..!

##Hivi kwa akili za kawaida tu, mtu yeyote anaweza kujiuliza maswali haya:

1. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo haelewi mantiki ya kauli mbiu hii ya NO REFORMS, NO ELECTION..?

2. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo hajui kuwa kilele cha mfumo mbovu na mbaya kabisa wa uchaguzi Tanzania umethibitishwa na chaguzi za mwaka 2019, 2020 na 2024...?

#Anyway, hebu mtazame na msikilize hadi mwisho kisha, na wewe sema neno..

Tatizo la chadema imeshindwa kabisa kua mbadala wa ccm. Hawaamini kwamba wanashindwa kwenye chaguzi za kidemokrasia. Tena chini ya Lissu ndio hawawezi kabisa kushinda hata ubunge wasipotulizana. Lissu hajui siasa. Anafikiri siasa ni sheria tu. Yeye anajua tu sheria tena za kiwakili. Siasa ni uchumi. Haijulikani ana msimamo gani kiuchumi wala sera yake ya kiuchumi ni ipi. Yeye ameshikilia katiba katiba katiba. CCM wana itikadi ya ujamaa na kujitegemea. Inaahidi haki na usawa kwenye fursa za uchumi na mambo ya kijamii. Japo fisadi wamekua wakiteka chama lakini japo kinatoa matarajio kwa kauli na vitendo. Chadema ni mdomo na wamesema sera yao ni demokrasia ya kiliberali. Ile demokrasia ya kuruhusu uhuru kila kitu. kuanzia kuibia umma hadi uhuru wa mapenzi ya jinsia moja.
 

View: https://youtu.be/ANA3rytxn0Q?si=6caBpBCIieREJQl7

➡Ukimtazama na kumsikiliza vizuri Ansbert Ngurumo ktk video hii unaweza kudhani ni mtu neutral, anayejaribu kushauri pande mbili ili kurekebisha mambo yao. Lakini ukweli ni kuwa, anajaribu kutumia ujuzi na usomi wake wa kihabari kupunguza makali ya kaulimbiu ya CHADEMA ya NO REFORMS, NO ELECTION ktk namna ya kuwa - confuse ambao tayari wameshaielewa na wako tayari kuitekeleza kwa vitendo...

➡Ukimtazama na kumsikiliza kwa makini utagundua kuwa, huyu bwana anauchukia kupindukia uongozi mpya wa CHADEMA chini ya Mwenyekiti mpya Tundu Lissu. Sikiliza kauli zake kwenye video hii...

➡Huyu bila shaka alikuwa ni mmoja wa chawa wa Freeman Mbowe aliyeshindwa. Na bado mpaka sasa haamini kuwa boss wake alishindwa na sio Mwenyekiti tena..!

##Hivi kwa akili za kawaida tu, mtu yeyote anaweza kujiuliza maswali haya:

1. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo haelewi mantiki ya kauli mbiu hii ya NO REFORMS, NO ELECTION..?

2. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo hajui kuwa kilele cha mfumo mbovu na mbaya kabisa wa uchaguzi Tanzania umethibitishwa na chaguzi za mwaka 2019, 2020 na 2024...?

#Anyway, hebu mtazame na msikilize hadi mwisho kisha, na wewe sema neno..

Huyo ni pandikizi la CCM anayefanya kazi za kimakakati za CCM. Mbona alishajulikana tangu uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema?

Achana nae. Wapo wengi na yule aliyeitwa na Magufuli Njaa
 

View: https://youtu.be/ANA3rytxn0Q?si=6caBpBCIieREJQl7

➡Ukimtazama na kumsikiliza vizuri Ansbert Ngurumo ktk video hii unaweza kudhani ni mtu neutral, anayejaribu kushauri pande mbili ili kurekebisha mambo yao. Lakini ukweli ni kuwa, anajaribu kutumia ujuzi na usomi wake wa kihabari kupunguza makali ya kaulimbiu ya CHADEMA ya NO REFORMS, NO ELECTION ktk namna ya kuwa - confuse ambao tayari wameshaielewa na wako tayari kuitekeleza kwa vitendo...

➡Ukimtazama na kumsikiliza kwa makini utagundua kuwa, huyu bwana anauchukia kupindukia uongozi mpya wa CHADEMA chini ya Mwenyekiti mpya Tundu Lissu. Sikiliza kauli zake kwenye video hii...

➡Huyu bila shaka alikuwa ni mmoja wa chawa wa Freeman Mbowe aliyeshindwa. Na bado mpaka sasa haamini kuwa boss wake alishindwa na sio Mwenyekiti tena..!

##Hivi kwa akili za kawaida tu, mtu yeyote anaweza kujiuliza maswali haya:

1. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo haelewi mantiki ya kauli mbiu hii ya NO REFORMS, NO ELECTION..?

2. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo hajui kuwa kilele cha mfumo mbovu na mbaya kabisa wa uchaguzi Tanzania umethibitishwa na chaguzi za mwaka 2019, 2020 na 2024...?

#Anyway, hebu mtazame na msikilize hadi mwisho kisha, na wewe sema neno..

Na anachosahau yeye na wengine wote hii No reform No Election ilikuja kabla ya TAL nibaada tu uchaguzi wa serikali za mitaa kuvurugwa tena na FAM ndie aliehutubia press wanadhani sisi niwajinga hawa wanufaika ndio waliokua wanachelewesha mageuzi yakweli sasa wanaumia kua mambo yanaenda kutokea kweli sio maigizo,TAL endelea kuwabana Mazaga wameshajaa kwenye mfumo 🤣🤣🤣
 

Attachments

  • godbless_lema_270p_20250220_223404.mp4
    3.8 MB
  • 20250215_190144.jpg
    20250215_190144.jpg
    61.9 KB · Views: 2
Walau Ansebrt angeshaur hizo pesa za uchaguz zikafanye kaz za maana kama kuajiri waalimu angeeleweka!

Ilivyo mshind ashajulikana!
 
Kumbe hili jitu halikuwa la kuonea huruma magufuli alivyotaka kulikata pumbu.
 

View: https://youtu.be/ANA3rytxn0Q?si=6caBpBCIieREJQl7

➡Ukimtazama na kumsikiliza vizuri Ansbert Ngurumo ktk video hii unaweza kudhani ni mtu neutral, anayejaribu kushauri pande mbili ili kurekebisha mambo yao. Lakini ukweli ni kuwa, anajaribu kutumia ujuzi na usomi wake wa kihabari kupunguza makali ya kaulimbiu ya CHADEMA ya NO REFORMS, NO ELECTION ktk namna ya kuwa - confuse ambao tayari wameshaielewa na wako tayari kuitekeleza kwa vitendo...

➡Ukimtazama na kumsikiliza kwa makini utagundua kuwa, huyu bwana anauchukia kupindukia uongozi mpya wa CHADEMA chini ya Mwenyekiti mpya Tundu Lissu. Sikiliza kauli zake kwenye video hii...

➡Huyu bila shaka alikuwa ni mmoja wa chawa wa Freeman Mbowe aliyeshindwa. Na bado mpaka sasa haamini kuwa boss wake alishindwa na sio Mwenyekiti tena..!

##Hivi kwa akili za kawaida tu, mtu yeyote anaweza kujiuliza maswali haya:

1. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo haelewi mantiki ya kauli mbiu hii ya NO REFORMS, NO ELECTION..?

2. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo hajui kuwa kilele cha mfumo mbovu na mbaya kabisa wa uchaguzi Tanzania umethibitishwa na chaguzi za mwaka 2019, 2020 na 2024...?

#Anyway, hebu mtazame na msikilize hadi mwisho kisha, na wewe sema neno..

Huyu mseminari na mwanakwaya mwezangu ni binadamu mtiifu sana kwa MWAMBA MBOWE.

STONGER TOGETHER
 

View: https://youtu.be/ANA3rytxn0Q?si=6caBpBCIieREJQl7

➡Ukimtazama na kumsikiliza vizuri Ansbert Ngurumo ktk video hii unaweza kudhani ni mtu neutral, anayejaribu kushauri pande mbili ili kurekebisha mambo yao. Lakini ukweli ni kuwa, anajaribu kutumia ujuzi na usomi wake wa kihabari kupunguza makali ya kaulimbiu ya CHADEMA ya NO REFORMS, NO ELECTION ktk namna ya kuwa - confuse ambao tayari wameshaielewa na wako tayari kuitekeleza kwa vitendo...

➡Ukimtazama na kumsikiliza kwa makini utagundua kuwa, huyu bwana anauchukia kupindukia uongozi mpya wa CHADEMA chini ya Mwenyekiti mpya Tundu Lissu. Sikiliza kauli zake kwenye video hii...

➡Huyu bila shaka alikuwa ni mmoja wa chawa wa Freeman Mbowe aliyeshindwa. Na bado mpaka sasa haamini kuwa boss wake alishindwa na sio Mwenyekiti tena..!

##Hivi kwa akili za kawaida tu, mtu yeyote anaweza kujiuliza maswali haya:

1. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo haelewi mantiki ya kauli mbiu hii ya NO REFORMS, NO ELECTION..?

2. Hivi ni kweli Ansbert Ngurumo hajui kuwa kilele cha mfumo mbovu na mbaya kabisa wa uchaguzi Tanzania umethibitishwa na chaguzi za mwaka 2019, 2020 na 2024...?

#Anyway, hebu mtazame na msikilize hadi mwisho kisha, na wewe sema neno..

Yupo kituo gani???
 
Huyu mseminari na mwanakwaya mwezangu ni binadamu mtiifu sana kwa MWAMBA MBOWE.

STONGER TOGETHER
Akili iliyotufikisha hapa haipo tena kututafsiria hali yetu kama Ina Afya kwa Taifa au la!
Mfumo wa kuiamini mamlaka kwa miaka yote ndio mfumo uliopo...Tukiweka pembeni Hadaa-Maslahi Mafupi ya Tumbo..Tunazama taratibu Baharini !
 
Tatizo la chadema imeshindwa kabisa kua mbadala wa ccm. Hawaamini kwamba wanashindwa kwenye chaguzi za kidemokrasia. Tena chini ya Lissu ndio hawawezi kabisa kushinda hata ubunge wasipotulizana. Lissu hajui siasa. Anafikiri siasa ni sheria tu. Yeye anajua tu sheria tena za kiwakili. Siasa ni uchumi. Haijulikani ana msimamo gani kiuchumi wala sera yake ya kiuchumi ni ipi. Yeye ameshikilia katiba katiba katiba. CCM wana itikadi ya ujamaa na kujitegemea. Inaahidi haki na usawa kwenye fursa za uchumi na mambo ya kijamii. Japo fisadi wamekua wakiteka chama lakini japo kinatoa matarajio kwa kauli na vitendo. Chadema ni mdomo na wamesema sera yao ni demokrasia ya kiliberali. Ile demokrasia ya kuruhusu uhuru kila kitu. kuanzia kuibia umma hadi uhuru wa mapenzi ya jinsia moja.

Mkuu unapo zungumzia Lisu basi tenda haki kwa kumlinganisha na Samia kwa sababu wote ni wenyeviti.

Pili, unapozungumzia sera sema sera kwa kulinganisha vyama vya Chadema na CCM.

Mkuu kuchanganya habari kunapoteza maana halisi ya hoja yako.

Tulia andika hoja vizuri kwa ulinganifu sahihi. Paparazzi ya nini!!
 
Back
Top Bottom