No ryt wthout fyt in tz

Joined
Nov 11, 2011
Posts
11
Reaction score
0
Hivi ni haki mwanafunzi hana baba wala mama, mwenye division 1.8 na aliyesoma shule za kata o-level na advanc asipate mkopo? wakat huo huo watoto wa mawaziri na wabunge wapewe zaidi ya 80%.. bila kusimama na kupigania haki zetu tatafika? Je UDSM wamekosea kuandamana kwa ajili ya kuwatetea wanyonge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…