Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Umenena vyema mkuuHongera sana mkuu, kumbe watu tunatoka mbali sana aiseee....
Ila tukifika town huwa tunabadilika na kuwaona wanaotoka vijijini ni washamba na pengine wanatuchafulia sofa zetu majumbani.
Hii inakukumbusha uishi kwa upendo na heshma kwa yeyote anaekuzunguka.
Sifia,pendezesha kusudi la mtoa madaKu graduate sio kutoboa maisha.
Kwenye kamati ya roho mbaya una cheo gani?Ku graduate sio kutoboa maisha.
Inawezekana umesoma lakini bahatimbaya haukuelimika....😂 alafu upunguze wivu kidogo binti...🤨Ku graduate sio kutoboa maisha.
Hajasema ametoboaKu graduate sio kutoboa maisha.
Atakua MwenyekitiKwenye kamati ya roho mbaya una cheo gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kwanini unapenda sana kuwaza waza ishu za uchawi??.hongera mkuu kwa kuwashinda wachawi wa hapo kijijini kwenu