YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 114
ipo
wapo
tafuta utawapata.
bt y u like t?
style yako imekaa kijeruman sana
Wana JF heshima kwenu wote, nimekuwa nikifuatalia visa na mada mbalimbali humu kwa muda na kuvutiwa sana. Hivi kibongo bongo haiwezekani kuwa na partner wa opposite sex ambae hakuna relationship wala commitment yoyote isipokuwa ni company pamoja na sex for leisure tu. no financial obligation, no whereabouts, no wivu, no future....ni kupeana kampani ikiwemo sex pale mnapojisikia tu...naomba kupata maoni tafadhali
Haahaaa!
Mjerumani sio? Kama mimi!?
Asee wapo sana.
Haahaaa!
Mjerumani sio? Kama mimi!?
Asee wapo sana.
ipo
wapo
tafuta utawapata.
bt y u like t?
style yako imekaa kijeruman sana
Haahaaa!
Mjerumani sio? Kama mimi!?
Asee wapo sana.
Wana JF heshima kwenu wote, nimekuwa nikifuatalia visa na mada mbalimbali humu kwa muda na kuvutiwa sana. Hivi kibongo bongo haiwezekani kuwa na partner wa opposite sex ambae hakuna relationship wala commitment yoyote isipokuwa ni company pamoja na sex for leisure tu. no financial obligation, no whereabouts, no wivu, no future....ni kupeana kampani ikiwemo sex pale mnapojisikia tu...naomba kupata maoni tafadhali
kwani ukiwa na huyo wa company utakua una mwingine uliyejicommit kwake? Well...jibu liweke kando! Hofu yangu ni kwamba haya mambo yanayohusisha emotions na feelings hayana si unit! Mtaanza km marafiki wa kawaida..mtalay terms na conditions of which si wewe ama yeye atakayezifata effectively, consequences zake ni kwamba mtajikuta mmeenda too far kwenye nyoyo zenu ama mmoja zaidi kwa mwenzake,na hapo ndipo kizungumkuti kinapoanzia!
Wapo sana mkuu
Jaribu kujiepusha na hayo kwa kuwa sio maadili yetu lakini kikubwa Mungu haruhusu hilo labda kama utakuwa humuamini.
Technically yes, but in reality I think not . You may start as such but somehow and somewhere along line ...................it ends up becoming a mess. From what I have seen so far, of similar relationship arrangements eventually, emotions and feelings creep into one of the patners and then inakuwaga matatizo