Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Yaaani yanayochangazwa ni haya_ wewe wa kuitetea brand ya simba. Utopolo yenu kule mmemwachia GSM wala hamhoji.MO hawezi atasiku moja aka i transform Simba iji tegemeee, kujitegemea kwa Simba maana yake itakua huru kutoka katika makucha ya beberu MO.
Vile vile Hakuna kiongozi wa upande wa klabu ambaye atakua against Mudi. Kwaiyo Mudi ndiye kiongozi wa mabadiliko na hawezi kumwaniri CEO ambaye anataka kuibadili Simba ki uhalisia .
Mudi anataka siku zote Simba imtegemee yeye ndio maana hawezi kuweka 20 b kwakua anaweza akaweka alafu wenye akili Waka i transform timu kiuhalisia.
Siku Simba ikifanikiwa kuto mtegemea Mudi ndio siku thamani ya Mudi inakufa. Ayo Mambo ata mjomba wake MO Azim dewj alisha wahi yafanya sana, ilifikia mbaka kuuza mechi ya fainali ya Caf dhidi ya Stella Abidjan pale Taifa. uu ni mwendelezo wa Mambo ya kihuni kwenye Soka la bongo.
Simba ni kampuni hatujashindwa kujiendesha, ni muda muhafaka kwa wewe kukaa kando tukajiendesha wenyewe maana uwezo huo tunao.
Chukua zile 51% utakuwa umemshinda..Simba ni kampuni hatujashindwa kujiendesha, ni muda muhafaka kwa wewe kukaa kando tukajiendesha wenyewe maana uwezo huo tunao.
πππππ kweli mafanikio bongo ni ngumu sn kuyafanikisha hasahasa ikiwa ni ubia. Tunasafari ndefu sana.Simba ni kampuni hatujashindwa kujiendesha, ni muda muhafaka kwa wewe kukaa kando tukajiendesha wenyewe maana uwezo huo tunao.
Mkuu tuungane pamoja kuitetea klabu yetu, huu ndio muda muafaka kwa wana simba kuwa kitu kimoja kutetea maslahi ya klabu yetu pendwa, Mo Dewji anaifanya simba kama mojawapo ya makampuni yake kwa interest anazozijua yeye mwenyeweuachiwe timu kupitia post uchwara hata kuandika vizuri huwezi?
Nashangaa mijitu inahaha wakati haijawahi kuchangia lolote kwenye timu yetu pendwa...Mo afanye chochote..Mimi kwangu ushindi tu..
Tunakushukuru Mkuu, Kuna ukweli fulani kuhusu Wawekezaji wa mpira wa Kibongo kwa uliyoandika.MO hawezi atasiku moja aka i transform Simba iji tegemeee, kujitegemea kwa Simba maana yake itakua huru kutoka katika makucha ya beberu MO.
Vile vile Hakuna kiongozi wa upande wa klabu ambaye atakua against Mudi. Kwaiyo Mudi ndiye kiongozi wa mabadiliko na hawezi kumwaniri CEO ambaye anataka kuibadili Simba ki uhalisia .
Mudi anataka siku zote Simba imtegemee yeye ndio maana hawezi kuweka 20 b kwakua anaweza akaweka alafu wenye akili Waka i transform timu kiuhalisia.
Siku Simba ikifanikiwa kuto mtegemea Mudi ndio siku thamani ya Mudi inakufa. Ayo Mambo ata mjomba wake MO Azim dewj alisha wahi yafanya sana, ilifikia mbaka kuuza mechi ya fainali ya Caf dhidi ya Stella Abidjan pale Taifa. uu ni mwendelezo wa Mambo ya kihuni kwenye Soka la bongo.
huwezi kuungana na mimi kwenye ujinga kama huo. niko pamoja na Mo Dewji. anafanya kazi nzuri na timu inakuwa watu wanaburudika. Tuambie unachangia nini kupitia share. usikute hata jezi huna. acha wivu fanya wa kike fanya kaziMkuu tuungane pamoja kuitetea klabu yetu, huu ndio muda muafaka kwa wana simba kuwa kitu kimoja kutetea maslahi ya klabu yetu pendwa, Mo Dewji anaifanya simba kama mojawapo ya makampuni yake kwa interest anazozijua yeye mwenyewe
#FreeSimba Sc.