Cavill
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 379
- 1,284
Salaam,
Kama heading inavyojieleza hapo, naomba nisaidiwe ufafanuzi Juu ya hili swala la Dhamana, Kwa mfano nikienda kumtolea Mtuhumiwa dhamana Ni lazima niende na Cash?
Na je siwezi kutumia Mali nyingine isiyo hamishika Kama Dhamana? Na vipi Kama Mtuhumiwa kesi itapelekwa mahakamani na akashinda je Gharama ilotumika Mwanzoni mwa kesi(Polisi) Kama dhamana itarejeshwa?
Naomba kuiwasilisha Wakuu
Kama heading inavyojieleza hapo, naomba nisaidiwe ufafanuzi Juu ya hili swala la Dhamana, Kwa mfano nikienda kumtolea Mtuhumiwa dhamana Ni lazima niende na Cash?
Na je siwezi kutumia Mali nyingine isiyo hamishika Kama Dhamana? Na vipi Kama Mtuhumiwa kesi itapelekwa mahakamani na akashinda je Gharama ilotumika Mwanzoni mwa kesi(Polisi) Kama dhamana itarejeshwa?
Naomba kuiwasilisha Wakuu