'Nobody has seen Tupac's body'

'Nobody has seen Tupac's body'

Elisha Ray

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2012
Posts
323
Reaction score
94
Jamani nimesoma hii leo from UK's newspaper, Suge Knight akiongelea kuhusu Tupac baada ya 'kuonekana' akiperfom na Snoop pamoja na Dr Dre majuzi huko USA.

Tupac could still be alive, according to former Death Row Records label CEO Suge Knight.The rap mogul, who was in the driver's seat of the car in which the artist was shot in 1996, said in a radio interview yesterday that he is not convinced he really died.Tupac Shakur, who was 25 when was killed in a drive-by shooting in Las Vegas, was 'resurrected' on stage last weekend at the Coachella Festival through hologram.

And now the former label boss, real name Marion Suge Knight, has added fuel to the whispers by stating that he never saw the artist's
body following his death, despite being there on the night

.
article-2133123-01DC0B060000044D-491_306x423.jpg

Eye witness: Knight was in the car in which the rapper was shot dead in 1996, but says he never saw the body

During an interview on Los Angeles radio station 93.5 KDay, which was reported on TMZ, Knight was questioned on his feelings about accusations that he had been involved in the plot to have Shakur killed.But he stunned listeners when he answered: 'Maybe the question is, Pac's not really dead. Pac's somewhere else.'When pressed by the clearly taken-aback radio hosts, he added: 'Nobody seen Tupac dead.'Knight, 47, added that he gave $3million cash to the person who was supposed to cremate Shakur, but never heard from him again.
The interview, reported on TMZ, has reignited conspiracy theories that Tupac faked his own death.Knight, along with P Diddy, was accused last year by an ex-LAPD detective of ordering the killings of Shakur and Biggie Smalls. They called the claims 'ridiculous' and 'pure fiction.'Knight was arrested in May 2010 for assault with a deadly weapon, arrested earlier this year for possession of marijuana, and is serving 36 months probation for driving on a suspended license.
Last weekend, fans of the late rapper were stunned when he unexpectedly appeared onstage during Snoop Dogg and Dr Dre's headlining performance.
Making the illusion even more believable, he greeted the roaring crowd by saying: 'What's up Coachella?' - a festival that wasn't even taking place at the time of his death - before joining Snoop and Dr. Dre on hit single Hail Mary.


Read more: Tupac alive: Suge Knight stuns fans by suggesting rapper may not be dead | Mail Online
 
yeah tetesi zipo toka kipindi hicho alipotoweka....ni kama ilivo kwa adolf hitler
 
yeah tetesi zipo toka kipindi hicho alipotoweka....ni kama ilivo kwa adolf hitler

ukisikiliza pia baadhi ya nyimbo zake Pac anazungumzia mambo ya kudisappear na ishu za illuminati. Hitler nae alipotea hakuzikwa?
 
Vitu vingine bwana,mm,vinashangaza sana.Lakini kwa nini iwe hivyo?
hahaaa!! Nobody. Eti alichomwa mara kazikwa kule kule states...! kuna picha niliiona facebook wadau waliweka ya Balali akiwa supermarket doing some shopping...
 
Mkuu the guy is dead.., period

Haya mambo mengine huwa watu wanaopata faida (kutokana na sales na kuuza miziki yake) ndio wanaleta hizi romours, hii ni publicity stunt ya nyie wadau kuendelea kununua vibao vyake na kufanya jina lake lisisahaulike

People are always making money kwa kutumia wenzao
 
Mkuu hiyo ya Tupac kuperfom juzi ni teknolojia tu ilitumika, na wana mpango hata kufanya concert ya Beetles kwa kutumia teknolojia hiyo: YULE HAKUWA TUPAC NI TEKNOLOGY TU.
 
sasa kama kweli hajafa kuna faida gani anayopata kujificha miaka yote hiyo.
mi naona kafa bana
 
Hapa jf vitu vingine vinaweza kukuchizisha kabisa. SITAKI kuulizwa kwanini nimesema hvyo!
 
Mkuu hiyo ya Tupac kuperfom juzi ni teknolojia tu ilitumika, na wana mpango hata kufanya concert ya Beetles kwa kutumia teknolojia hiyo: YULE HAKUWA TUPAC NI TEKNOLOGY TU.

Safi kwa maelezo mkuu inaitwa hologram
 
ukisikiliza pia baadhi ya nyimbo zake Pac anazungumzia mambo ya kudisappear na ishu za illuminati. Hitler nae alipotea hakuzikwa?

Kibwetere je?!, nasikia hata Koni haonekani sasa.
 
Mtu hafi mara mbili!aliyekufa ndo kafa!hizi story za tupac kuwa hai ni porojo tu
 
Back
Top Bottom