Noel mwakalindile ni nouma!

Nami namkubali sana! pongezi zake sana!
 
si kazi yake ni wajbu wake afanye vizuri sioni cha ajabu hapo,
 
Binafsi simnpendi narine hassani kupita kiasi maana jamaa ni bonge la ganba................tutawashughulikia tukichukua nchi kwani kuna watu wengi sana wanakwamisha demokrasia wakiwemo kibonde na clouds.........nasema tutawashughulikia
 
Jaffer Haniu kaula. Ni mkurugenzi msaidizi wa habari Ikulu. Nyie endeleeni kuchonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…