Phone4Sale Nokia 3.4 , used 3 weeks inauzwa kwa 350,000/=

Phone4Sale Nokia 3.4 , used 3 weeks inauzwa kwa 350,000/=

j wara

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2016
Posts
233
Reaction score
250
Simu ni ya kwangu, niliinunua for temporary usage baada ya simu yangu niliyokuwa naitumia kupasuka display. Kwasasa nimeshaifix simu yangu hiyo ya awali hivyo nataka kuiresale hii niliyotumia kwa muda mfupi.

Sifa zake ni ram 4 gb ,snap dragon 460, 64 gb internal storage, Camera 3 yaani 13mp, 5mp, 3mp. Inarun android version 10 . Kwa maelezo zaidi waweza icheck google kupitia tovuti ya gsm arena.

Akhsanteni nakaribuni tufanye biashara.

IMG_20210420_132352.jpg
IMG_20210420_132652.jpg
 
Ingekuwa itel A37 saahizi uzi ungekuwa na replies zaidi ya 50, na views 30000 hahaha.

Simu kali mzee, usikonde
 
Nina Oppo F1 plus(i unaweza mpa mchepuko) nikuongezee sh.ngap kaka.....?
 
Back
Top Bottom